Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ZAIDI YA MITANDAO 857 YAPIGWA STOP NCHINI INDIA.
«
Next
HII HAPA NDIYO RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA EPL NA LA LIGA HII HAPA NDIYO RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA EPL NA LA LIGA
»
Previous
MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU ATUA NCHINI INDIA MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU ATUA NCHINI INDIA

India imezuia uwezo wa kuingia katika takriban mitandao 857 ya picha za ngono katika kile inachosema ni harakati za kuwazuia watoto kuiona.
Hatahivyo watu wazima wataendelea kuingia katika mitandao hiyo kupitia mitandao ya kibinafsi VPNs.
Mnamo mwezi Julai ,mahakama kuu ilionyesha kutofurahishwa na hatua ya serikali kushindwa kuzuia mitandao hiyo hususan ile ilio na picha za ngono ya watoto.
Kampuni za mawasiliano zimesema kuwa haziwezi kutekeleza marufuku hiyo mara moja.
Marafuku
”Lazima tufunge kila mtandao mmoja baada ya mwengine na itachukua siku chache kwa wahudumu kuzuia mitandao yote,afisa mmoja wa kampuni hizo za mawasiliano ambaye hakutaka kutajwa aliliambia gazeti la the times kutoka India
Haijapigwa mar

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
HII HAPA NDIYO RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA EPL NA LA LIGA HII HAPA NDIYO RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA EPL NA LA LIGA
»
Previous
MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU ATUA NCHINI INDIA MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU ATUA NCHINI INDIA

No comments

/ / ZAIDI YA MITANDAO 857 YAPIGWA STOP NCHINI INDIA.

India imezuia uwezo wa kuingia katika takriban mitandao 857 ya picha za ngono katika kile inachosema ni harakati za kuwazuia watoto kuiona.
Hatahivyo watu wazima wataendelea kuingia katika mitandao hiyo kupitia mitandao ya kibinafsi VPNs.
Mnamo mwezi Julai ,mahakama kuu ilionyesha kutofurahishwa na hatua ya serikali kushindwa kuzuia mitandao hiyo hususan ile ilio na picha za ngono ya watoto.
Kampuni za mawasiliano zimesema kuwa haziwezi kutekeleza marufuku hiyo mara moja.
Marafuku
”Lazima tufunge kila mtandao mmoja baada ya mwengine na itachukua siku chache kwa wahudumu kuzuia mitandao yote,afisa mmoja wa kampuni hizo za mawasiliano ambaye hakutaka kutajwa aliliambia gazeti la the times kutoka India
Haijapigwa mar

«
Next
HII HAPA NDIYO RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA EPL NA LA LIGA HII HAPA NDIYO RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA EPL NA LA LIGA
»
Previous
MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU ATUA NCHINI INDIA MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU ATUA NCHINI INDIA

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :