Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ADHABU HII KUMKUTA MOURINHO IWAPO ATAKUTWA NA KOSA LA UNYANYASAJI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Bado ile ishu ya daktari wa Chelsea na kocha wa timu hiyo Jose Mourinho inazidi kuingia katika headlines licha ya awali kuonekana kama imeisha vile. Baada ya daktari wa Chelsea Eva Carneiro kusimamishwa kutoa huduma katika kikosi cha Chelsea kutokana na Mourinho kumlaumu, kwa sababu aliingia uwanjani kumtibia Eden Hazard wakati wa dakika za lala salama hivyo Mourinho aliona kama  Eva Carneiro alichangia kuchelewesha muda.
Eva Carneiro ambaye anaripotiwa kuondoka rasmi Chelsea anamtuhumu kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho kuwa alimfanyia ubaguzi wa kijinsia wakati akitoka uwanjani kumtibia Eden Hazard, stori kutoka 101greatgoals.com na moroccoworldnews.com zinaripoti kuwa ushaidi tayari umekabidhiwa kwa chama cha soka Uingereza FA, uchunguzi ulifanywa kwa kumtumia mtafsiri wa kireno na kubaini kuwa Mourinho alimfanyia ubaguzi wa kijinsia Eva Carneiro.
  
Eva Carneiro ambaye toka aingie katika malumbano na kocha huyo wa kireno hajawahi kukaa katika benchi na kuendelea kutoa huduma, Jumanne ya wiki hii alitangaza rasmi kujiuzulu kuendelea kuwa daktari wa Chelsea, kosa alilofanya Mourinho litampelekea kufungiwa mechi tano kwa sababu ya kumtusi Eva Carneiro kwa kutumia lugha ya kireno  “filha de puta” ambapo maana yake ni kuwa binti wa mwanamke muhuni.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ADHABU HII KUMKUTA MOURINHO IWAPO ATAKUTWA NA KOSA LA UNYANYASAJI

Bado ile ishu ya daktari wa Chelsea na kocha wa timu hiyo Jose Mourinho inazidi kuingia katika headlines licha ya awali kuonekana kama imeisha vile. Baada ya daktari wa Chelsea Eva Carneiro kusimamishwa kutoa huduma katika kikosi cha Chelsea kutokana na Mourinho kumlaumu, kwa sababu aliingia uwanjani kumtibia Eden Hazard wakati wa dakika za lala salama hivyo Mourinho aliona kama  Eva Carneiro alichangia kuchelewesha muda.
Eva Carneiro ambaye anaripotiwa kuondoka rasmi Chelsea anamtuhumu kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho kuwa alimfanyia ubaguzi wa kijinsia wakati akitoka uwanjani kumtibia Eden Hazard, stori kutoka 101greatgoals.com na moroccoworldnews.com zinaripoti kuwa ushaidi tayari umekabidhiwa kwa chama cha soka Uingereza FA, uchunguzi ulifanywa kwa kumtumia mtafsiri wa kireno na kubaini kuwa Mourinho alimfanyia ubaguzi wa kijinsia Eva Carneiro.
  
Eva Carneiro ambaye toka aingie katika malumbano na kocha huyo wa kireno hajawahi kukaa katika benchi na kuendelea kutoa huduma, Jumanne ya wiki hii alitangaza rasmi kujiuzulu kuendelea kuwa daktari wa Chelsea, kosa alilofanya Mourinho litampelekea kufungiwa mechi tano kwa sababu ya kumtusi Eva Carneiro kwa kutumia lugha ya kireno  “filha de puta” ambapo maana yake ni kuwa binti wa mwanamke muhuni.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :