Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » HAYA HAPA NDIO MABADILIKO YA TWEETER KWA WATUMIAJI WAKE
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu mtandao wa Twitter kuongeza idadi ya maneno ya kutweet kwa Tweet moja… kwa sasa Twitter inamruhusu mtumiaji kutumia uwingi wa maneno 140 tu kutweet message moja lakini kwa wale ambao wanapenda kuchat kwa marefu, Twitter iliamua kongeza idadi ya maneno kufikia 10,000 kwa private messages.




Nimekutana na habari muda huu ambayo ningependa kushare na wewe mtu wangu… inasemekana kuwa Twitter ipo kwenye mpango wa kuongeza idadi ya maneno ambayo mtu anaweza kuandika kwa Tweet moja na kwa mujibu wa mtandao wa http://www.complex.com Twitter ina mpango wakuleta huduma itakayowaruhusu watumiaji wake kutweet ama kuandika Tweets/post zenye maneno zaidi ya 140!



Baadhi ya mitandao kama Re/Code  wa Marekani wanaamini kuwa maamuzi haya yamesukumwa na mabadiliko ya idadi ya maneno ya kutumia kwenye private messages za Twitter>>> “watu wamepokea vizuri ongezeko la maneno ya Twitter kwenye message za private, hii inaonyesha jinsi gani ambavyo bado kampuni ina nafasi ya kukua zaidi ya hapa…” <<< mmoja ya wafanyakazi wa Twitter aliuambia mtandao wa Re/Code.

Je Twitter itaweza kukuza biashara yake katika ushindani wa Teknolojia na mitandao ya kijamii safari hii? Kama ilikuwa haijakufikia basi ichukue hiyo mtu wangu na pengine tutegemee kufaidika very soon na mpango huu!

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / HAYA HAPA NDIO MABADILIKO YA TWEETER KWA WATUMIAJI WAKE

Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu mtandao wa Twitter kuongeza idadi ya maneno ya kutweet kwa Tweet moja… kwa sasa Twitter inamruhusu mtumiaji kutumia uwingi wa maneno 140 tu kutweet message moja lakini kwa wale ambao wanapenda kuchat kwa marefu, Twitter iliamua kongeza idadi ya maneno kufikia 10,000 kwa private messages.




Nimekutana na habari muda huu ambayo ningependa kushare na wewe mtu wangu… inasemekana kuwa Twitter ipo kwenye mpango wa kuongeza idadi ya maneno ambayo mtu anaweza kuandika kwa Tweet moja na kwa mujibu wa mtandao wa http://www.complex.com Twitter ina mpango wakuleta huduma itakayowaruhusu watumiaji wake kutweet ama kuandika Tweets/post zenye maneno zaidi ya 140!



Baadhi ya mitandao kama Re/Code  wa Marekani wanaamini kuwa maamuzi haya yamesukumwa na mabadiliko ya idadi ya maneno ya kutumia kwenye private messages za Twitter>>> “watu wamepokea vizuri ongezeko la maneno ya Twitter kwenye message za private, hii inaonyesha jinsi gani ambavyo bado kampuni ina nafasi ya kukua zaidi ya hapa…” <<< mmoja ya wafanyakazi wa Twitter aliuambia mtandao wa Re/Code.

Je Twitter itaweza kukuza biashara yake katika ushindani wa Teknolojia na mitandao ya kijamii safari hii? Kama ilikuwa haijakufikia basi ichukue hiyo mtu wangu na pengine tutegemee kufaidika very soon na mpango huu!

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :