Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » HIZI NI STORY ZA KIMICHEZO NILIZOKUKUSANYIA KWA SASA, ZIPITIE UFAHAMU MENGI YALIYOJIRI ULAYA NA AMERIKA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



JAMIE CARRAGHER


Jamie Carragher anaamini kwamba Liverpool wana mshambuliaji wa pili kwa ubora katika ligi kuu Uingereza. Nguli huyo wa Liverpool amesema kuwa ni Aguero pekee ndiye mwenye uwezo wa kumzidi Sturridge.

Aguero alifunga mabao 35 msimu uliopita katika mashindano yote, huku akiwa amefunga mabao 109 tangu awasili kwa matajiri hao wa jiji la Manchester.

Hata hivyo, Sturridge amefanikiwa kufunga mabao 42 tangu ajiunge na klabu ya Chelsea
Sergio Aguero ndiye mshmbuliaji bora wa EPL kwa sasa kwa mujibu wa Carragher. Na Carragher anaamini kwamba wakiwa kamili, Aguero na Sturridge ni washambuliaji wawili wa kiwango cha juu kabisa katika ligi kuu Uingereza.
**************************

JOSE MOURINHO


Jose Mourinho ameonya kuwa atakiingiza kikosi cha watoto msimu ujao iwapo kikosi alichonacho kitashindwa kutwaa moja wapo ya mataji inayoshindaniwa .

Chelsea wamefanya vibaya katika mechi za hivi karibuni.\

Akizungumza kabla ya kucheza Ligi ya Mabingwa  dhidi ya  klabu yake ya zamani Porto, Mourinho alisema hawana wasiwasi kuhusu nafasi yoyote ya wachezaji wake wakubwa na matarajio ya vijana katika mashindano ya mbele.

****************************

WAYNE ROONEY

Nahodha wa Manchester United Wayne Rooney amekanusha kuomba kuihama man u mwaka 2013, ingawa anakiri kujadili suala la kuondoka na  Sir Alex Ferguson.

Ferguson alimsainisha Rooney kutoka Everton mwaka 2004 lakini, Pamoja na kufurahia mafanikio makubwa Old Trafford kabla ya kustaafu  miaka miwili iliyopita,  alikuwa na uhusiano mgumu na mchezaji huyo.

Alitangaza mwezi Oktoba 2010  Rooney alikuwa anataka kuondoka klabuni hapo kabla ya kukabidhiwa mkataba wa miaka mitano .
**********************************************

NEYMAR



Wakala wa Neymar nyota wa kibrazil na Barcelona Wagner Ribeiro amesema kuwa mteja wake endapo ataondoka barca anapaswa kujiunga na  klabu ya Real Madrid .

Mahakama Brazil imezuia mali za Neymar,kutokana na mchezaji huyo kukwepa kulipa kodi ambapo mali hizo zina thamani ya dola  ($ 48,000,000, } sawa na euro milioni 42)mahakama imedai kuwa nyota huyo mwenye umri wa miaka 23 alishindwa kulipa euro  milioni 63 kama kodi nchini brazil (karibu $ 16m au 14m) kati ya 2011 na 2013 Wakati bado alikuwa mchezaji wa klabu santos nchini  Santos.

Katika kukabiliana na hatua, Ribeiro Alichukua nafasi katika  Instagram siku ya Jumatatu kwa kutoa ushauri wake, akisema kuwa nyota huyo anaweza kushindwa kusimamia fedha na biashara zake kipindi kijacho na kama barca wasipokuwa makini katika utatuzi wa kesi yake hiyo ni wazi mshambuliaji huyo atatua katika kikosi cha mahasimu wao Real Madrid.


****************************************
GAUCHO

mchezaji wa zamani wa barcelona na timu ya taifa ya brazil  Ronaldinho Gaucho amevunja mkataba na klabu yake ya Fluminnence wiki chache tangu kujiunga nayo kutokana na kutokea kuto kuelewana na baadhi ya viongozi wa klabu hiyo. "klabu ilitangaza Jumatatu usiku".

"Fluminense hilitangaza kuvunja mkataba wao na Ronaldinho Gaucho katika kwa amani na katika makubaliano ya pande zote," taarifa rasmi ya klabu hiyo imeripoti hivyo.

*******************************
LIONEL MESSI


rodrigo ndugu yake Lionel Messi hajui kama atarudi kutoka kwenye maumivu yake ya sasa ya goti kipindi ambacho Barcelona watacheza El Clasico dhidi ya Real Madrid Novemba 21, Rodrigo amesema katika redio ya Hispania.

Messi aliumia goto mechi ya wiki hii ya ligi kuu hispania waliposhinda dhidi ya 
Las Palmas mabao  2-1  Camp Nou, Barcelona nao wamesema kuwa messi atakaa nje takribani wiki saba hadi nane 
***********************************







UEFA CHAMPIONS LEAGUE

21:45 Borisov Arena.
BATE Borisov V Roma

21:45 Camp Nou, Barcelona
Barcelona V Bayer Leverkusen


21:45 Stadio Emirates
Arsenal V Olympiakos

21:45 Allianz Arena, Munich
Bayern Munich V Dinamo Zagreb

21:45 Stadio Dragao
FC Porto V Chelsea

21:45Itztadion Sammy Ofer
Maccabi Tel Aviv V Dynamo Kyiv


21:45 Stade De Gerland
Lyon V Valencia

21:45 Stadion Petrovskiy
Zenit St. Petersburg V Gent
*******************************************

















About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / HIZI NI STORY ZA KIMICHEZO NILIZOKUKUSANYIA KWA SASA, ZIPITIE UFAHAMU MENGI YALIYOJIRI ULAYA NA AMERIKA



JAMIE CARRAGHER


Jamie Carragher anaamini kwamba Liverpool wana mshambuliaji wa pili kwa ubora katika ligi kuu Uingereza. Nguli huyo wa Liverpool amesema kuwa ni Aguero pekee ndiye mwenye uwezo wa kumzidi Sturridge.

Aguero alifunga mabao 35 msimu uliopita katika mashindano yote, huku akiwa amefunga mabao 109 tangu awasili kwa matajiri hao wa jiji la Manchester.

Hata hivyo, Sturridge amefanikiwa kufunga mabao 42 tangu ajiunge na klabu ya Chelsea
Sergio Aguero ndiye mshmbuliaji bora wa EPL kwa sasa kwa mujibu wa Carragher. Na Carragher anaamini kwamba wakiwa kamili, Aguero na Sturridge ni washambuliaji wawili wa kiwango cha juu kabisa katika ligi kuu Uingereza.
**************************

JOSE MOURINHO


Jose Mourinho ameonya kuwa atakiingiza kikosi cha watoto msimu ujao iwapo kikosi alichonacho kitashindwa kutwaa moja wapo ya mataji inayoshindaniwa .

Chelsea wamefanya vibaya katika mechi za hivi karibuni.\

Akizungumza kabla ya kucheza Ligi ya Mabingwa  dhidi ya  klabu yake ya zamani Porto, Mourinho alisema hawana wasiwasi kuhusu nafasi yoyote ya wachezaji wake wakubwa na matarajio ya vijana katika mashindano ya mbele.

****************************

WAYNE ROONEY

Nahodha wa Manchester United Wayne Rooney amekanusha kuomba kuihama man u mwaka 2013, ingawa anakiri kujadili suala la kuondoka na  Sir Alex Ferguson.

Ferguson alimsainisha Rooney kutoka Everton mwaka 2004 lakini, Pamoja na kufurahia mafanikio makubwa Old Trafford kabla ya kustaafu  miaka miwili iliyopita,  alikuwa na uhusiano mgumu na mchezaji huyo.

Alitangaza mwezi Oktoba 2010  Rooney alikuwa anataka kuondoka klabuni hapo kabla ya kukabidhiwa mkataba wa miaka mitano .
**********************************************

NEYMAR



Wakala wa Neymar nyota wa kibrazil na Barcelona Wagner Ribeiro amesema kuwa mteja wake endapo ataondoka barca anapaswa kujiunga na  klabu ya Real Madrid .

Mahakama Brazil imezuia mali za Neymar,kutokana na mchezaji huyo kukwepa kulipa kodi ambapo mali hizo zina thamani ya dola  ($ 48,000,000, } sawa na euro milioni 42)mahakama imedai kuwa nyota huyo mwenye umri wa miaka 23 alishindwa kulipa euro  milioni 63 kama kodi nchini brazil (karibu $ 16m au 14m) kati ya 2011 na 2013 Wakati bado alikuwa mchezaji wa klabu santos nchini  Santos.

Katika kukabiliana na hatua, Ribeiro Alichukua nafasi katika  Instagram siku ya Jumatatu kwa kutoa ushauri wake, akisema kuwa nyota huyo anaweza kushindwa kusimamia fedha na biashara zake kipindi kijacho na kama barca wasipokuwa makini katika utatuzi wa kesi yake hiyo ni wazi mshambuliaji huyo atatua katika kikosi cha mahasimu wao Real Madrid.


****************************************
GAUCHO

mchezaji wa zamani wa barcelona na timu ya taifa ya brazil  Ronaldinho Gaucho amevunja mkataba na klabu yake ya Fluminnence wiki chache tangu kujiunga nayo kutokana na kutokea kuto kuelewana na baadhi ya viongozi wa klabu hiyo. "klabu ilitangaza Jumatatu usiku".

"Fluminense hilitangaza kuvunja mkataba wao na Ronaldinho Gaucho katika kwa amani na katika makubaliano ya pande zote," taarifa rasmi ya klabu hiyo imeripoti hivyo.

*******************************
LIONEL MESSI


rodrigo ndugu yake Lionel Messi hajui kama atarudi kutoka kwenye maumivu yake ya sasa ya goti kipindi ambacho Barcelona watacheza El Clasico dhidi ya Real Madrid Novemba 21, Rodrigo amesema katika redio ya Hispania.

Messi aliumia goto mechi ya wiki hii ya ligi kuu hispania waliposhinda dhidi ya 
Las Palmas mabao  2-1  Camp Nou, Barcelona nao wamesema kuwa messi atakaa nje takribani wiki saba hadi nane 
***********************************







UEFA CHAMPIONS LEAGUE

21:45 Borisov Arena.
BATE Borisov V Roma

21:45 Camp Nou, Barcelona
Barcelona V Bayer Leverkusen


21:45 Stadio Emirates
Arsenal V Olympiakos

21:45 Allianz Arena, Munich
Bayern Munich V Dinamo Zagreb

21:45 Stadio Dragao
FC Porto V Chelsea

21:45Itztadion Sammy Ofer
Maccabi Tel Aviv V Dynamo Kyiv


21:45 Stade De Gerland
Lyon V Valencia

21:45 Stadion Petrovskiy
Zenit St. Petersburg V Gent
*******************************************


















«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :