Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » SASA JAPAN INAWEZA KUPIGANA NJE.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

China imeilaumu Japan kwa kukiuka katiba na kupitisha sheria za ulinzi , ambazo zitairuhusu kupeleka jeshi lake kupigana vita nchi za ng'ambo kwa mara ya kwaza kabisa tangu vimalizike vita vya pili vya dunia.


Wizara ya ulinzi nchini china inasema kuwa Japan inastahili kujifunza kutokana na historia na kulinda usalama wa majirani zake.
Marekani , uingereza na Australia , wamekaribisha mabadiliko hayo ambayo yatairuhusu Japan kutoa mchango mkubwa katika oparesheni za kimataifa za kulinda amani.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / SASA JAPAN INAWEZA KUPIGANA NJE.

China imeilaumu Japan kwa kukiuka katiba na kupitisha sheria za ulinzi , ambazo zitairuhusu kupeleka jeshi lake kupigana vita nchi za ng'ambo kwa mara ya kwaza kabisa tangu vimalizike vita vya pili vya dunia.


Wizara ya ulinzi nchini china inasema kuwa Japan inastahili kujifunza kutokana na historia na kulinda usalama wa majirani zake.
Marekani , uingereza na Australia , wamekaribisha mabadiliko hayo ambayo yatairuhusu Japan kutoa mchango mkubwa katika oparesheni za kimataifa za kulinda amani.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :