Kumekuwa na dalili za kuongezeka misukosuko kati ya nchi za ulaya, wakati zinapojaribu kukabiliana na maelfu ya wahamiaji na wakimbizi wanaojaribu kufika kaskazini na magharibi mwa ulaya.
Hungary umemlaumu jirani wake Croatia kwa kukiuka sheria za kimataifa na kushiriki katika ulanguzi wa watu, baada ya utawala nchini croatia kuanza kusafirisha wahamiaji kwenda nchini Hungary bila kuwaandikisha.
No comments
Post a Comment