Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » KAMA ULIMIS ALICHOKISEMA MH. LOWASSA KULE MONDULI JANA KISIKIE HAPA YUPO PIA NASARI NA MH. SUMAYE {AUDIOS !!!!!!!!}
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Mgombea wa nafasi ya urais kwa kitiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edward Lowassa ameingia mjini Monduli kwa kishindo na kupokelewa na maelfu wa wakazi wa jimbo hilo huku shughuli zikisimama kwa muda,

Miaka 20 iliyopita ilikuwa ni ngome imara ya CCM lakini hii ni Monduli mpyaa kabisa.
Mgombea huyo wa nafasi ya urais Edward Lowassa akiwa mjini Monduli amewaahidi kuhakikisha anakuwa mstari wambele katika kutetea na kuimarisha maendeleo ya wanamonduli na watanzania kwa ujumla.
 
Awali akihutubia mikutano ya hadhara wilayani Monduli katika maeneo ya Ingaruka, Loksari, Makuyuni na Monduli mjini amesema bado ni dhamira yake kuona watanzania wananufaika na rasilimali amabzo zimewazunguka.
 
Akizunguma mara baada ya kukabidhiwa rasm kijiti cha kuwania nafasi ya ubunge Bw Julias Kalanga amemhakikishia Edward Lowassa kuwa atahakikisha anakuwa mstari wa mbele kusimamia maendeleo mjini Monduli.
 
Mgombea huyo wa nafasi ya urais na timu yake ya kampeni ameendelea kupata uungwaji mkono na idadi kubwa ya wananchi ambapo kesho anatarajia kuanza ziara ya kampeni zake mjini Same mkoani Kilimanjaro.
 
sikiliza hapa Mheshimiwa Lowasa akizungumza na wakazi wa monduli

https://www.hulkshare.com/4v5wongze4w0
 Waziri mkuu mstaafu anasemaje nae msikilize hapa

Kuhusu sera za Dk Magufuri na barabara anazizungumziaje nasari? msikie hapa chini

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / KAMA ULIMIS ALICHOKISEMA MH. LOWASSA KULE MONDULI JANA KISIKIE HAPA YUPO PIA NASARI NA MH. SUMAYE {AUDIOS !!!!!!!!}

Mgombea wa nafasi ya urais kwa kitiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edward Lowassa ameingia mjini Monduli kwa kishindo na kupokelewa na maelfu wa wakazi wa jimbo hilo huku shughuli zikisimama kwa muda,

Miaka 20 iliyopita ilikuwa ni ngome imara ya CCM lakini hii ni Monduli mpyaa kabisa.
Mgombea huyo wa nafasi ya urais Edward Lowassa akiwa mjini Monduli amewaahidi kuhakikisha anakuwa mstari wambele katika kutetea na kuimarisha maendeleo ya wanamonduli na watanzania kwa ujumla.
 
Awali akihutubia mikutano ya hadhara wilayani Monduli katika maeneo ya Ingaruka, Loksari, Makuyuni na Monduli mjini amesema bado ni dhamira yake kuona watanzania wananufaika na rasilimali amabzo zimewazunguka.
 
Akizunguma mara baada ya kukabidhiwa rasm kijiti cha kuwania nafasi ya ubunge Bw Julias Kalanga amemhakikishia Edward Lowassa kuwa atahakikisha anakuwa mstari wa mbele kusimamia maendeleo mjini Monduli.
 
Mgombea huyo wa nafasi ya urais na timu yake ya kampeni ameendelea kupata uungwaji mkono na idadi kubwa ya wananchi ambapo kesho anatarajia kuanza ziara ya kampeni zake mjini Same mkoani Kilimanjaro.
 
sikiliza hapa Mheshimiwa Lowasa akizungumza na wakazi wa monduli

https://www.hulkshare.com/4v5wongze4w0
 Waziri mkuu mstaafu anasemaje nae msikilize hapa

Kuhusu sera za Dk Magufuri na barabara anazizungumziaje nasari? msikie hapa chini


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :