Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ONYO LA RPC KUHUSU MITA 200,RC NA VIONGOZI WA DINI,UZEMBE WA MALEZI YA WAZAZI YOTE YAKO HAPA .PICHA NA ...AUDIOS...
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



Mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akizungumza na viongozi wa dini mkoa wa dodoma
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akizungumza na viongozi wa dini mkoa wa dodoma
Dr Brown Mwakiipesile askofu mkuu



Kaimu Sheikh Mkuu mkoani dodoma Ahmed Said

Katika maombi ya ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa dini

mchungaji Maliga wa kanisa la TAG nkhuhungu mkoani dodoma
RPC mkoani dodoma David misime akitoa onyo kwa watanzania kupitia viongozi wa dini
RPC mkoani dodoma David misime akitoa onyo kwa watanzania kupitia viongozi wa dini

Kaimu Sheikh mkuu mkoa wa dodoma Ahmed Said

 



 

Na mwandishi wetu

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku gallawa amewataka viongozi wa dini kuendelea kuhubiri amani kwa waumini wao ili kuhakikisha uchaguzi unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 mwaka huu yaani siku nne zijazo.

Kauli hiyo ameitoa wakati wa mkutano na viongozi wa dini mkoani hapa waliokusanyika katika ukumbi wa Tresury Square kwa lengo la kuzungumza juu ya suala la amani mkoani hapa kabla, wakati na baad aya uchaguzi.

Mkuu huyo pia ametanabaisha kuwa kuna baadhi ya viongozi waliounda vikundi vya vijana kwa lengo la kufanya fujo kwa kuhofia kuwa tayari wameshashindwa na hivyo kujikita kuwapotosha vijana ili kufanya vurugu siku ya uchaguzi.

Mkuu huyo wa mkoa ameongeza kuwa serikali inayo mamlaka ya kutangaza juu ya wajibu wa wapiga kura baada ya kupiga kura,kutokana na agizo alilolitoa Rais Jakaya Kikwete la wapiga kura kuondoka katika vituo vya kupigia kura.

Akikazia kuhusu suala hilo Kamanda mkuu wa polis mkoa wa Dodoma David Misime amesema kutoakana na mamlaka ya kisheria tume ya uchaguzi inayo mamlaka ya kuwapa utaratibu mpya ili mradi kulinda amani.

RPC kaongeza kuwa wazazi wanao wajibu wa kuwakalisha chini vijana wao juu ya kujiepusha na makundi ya siasa kwani wamekuwa wakitumika sana hasa walio na umri chini ya miaka 17.

Baadhi ya viongozi wa dini nao wamezungumzia kuhusu upotovu wa maadili kwa vijana wa kisasa pamoja na kuwaonya viongozi wa dini kujihusisha na masuala ya kisiasa kwani kwa kufanya hivyo kutasababisha mgawanyiko miongoni mwa waumini wao na kuleta malumbano yasiyo na tija kwao na taifa kwa ujumla.

Fungua hapa kusikiliza kauli ya RPC na RC dodoma juu ya mita 200 za Tume 

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ONYO LA RPC KUHUSU MITA 200,RC NA VIONGOZI WA DINI,UZEMBE WA MALEZI YA WAZAZI YOTE YAKO HAPA .PICHA NA ...AUDIOS...



Mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akizungumza na viongozi wa dini mkoa wa dodoma
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akizungumza na viongozi wa dini mkoa wa dodoma
Dr Brown Mwakiipesile askofu mkuu



Kaimu Sheikh Mkuu mkoani dodoma Ahmed Said

Katika maombi ya ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa dini

mchungaji Maliga wa kanisa la TAG nkhuhungu mkoani dodoma
RPC mkoani dodoma David misime akitoa onyo kwa watanzania kupitia viongozi wa dini
RPC mkoani dodoma David misime akitoa onyo kwa watanzania kupitia viongozi wa dini

Kaimu Sheikh mkuu mkoa wa dodoma Ahmed Said

 



 

Na mwandishi wetu

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku gallawa amewataka viongozi wa dini kuendelea kuhubiri amani kwa waumini wao ili kuhakikisha uchaguzi unaotarajiwa kufanyika oktoba 25 mwaka huu yaani siku nne zijazo.

Kauli hiyo ameitoa wakati wa mkutano na viongozi wa dini mkoani hapa waliokusanyika katika ukumbi wa Tresury Square kwa lengo la kuzungumza juu ya suala la amani mkoani hapa kabla, wakati na baad aya uchaguzi.

Mkuu huyo pia ametanabaisha kuwa kuna baadhi ya viongozi waliounda vikundi vya vijana kwa lengo la kufanya fujo kwa kuhofia kuwa tayari wameshashindwa na hivyo kujikita kuwapotosha vijana ili kufanya vurugu siku ya uchaguzi.

Mkuu huyo wa mkoa ameongeza kuwa serikali inayo mamlaka ya kutangaza juu ya wajibu wa wapiga kura baada ya kupiga kura,kutokana na agizo alilolitoa Rais Jakaya Kikwete la wapiga kura kuondoka katika vituo vya kupigia kura.

Akikazia kuhusu suala hilo Kamanda mkuu wa polis mkoa wa Dodoma David Misime amesema kutoakana na mamlaka ya kisheria tume ya uchaguzi inayo mamlaka ya kuwapa utaratibu mpya ili mradi kulinda amani.

RPC kaongeza kuwa wazazi wanao wajibu wa kuwakalisha chini vijana wao juu ya kujiepusha na makundi ya siasa kwani wamekuwa wakitumika sana hasa walio na umri chini ya miaka 17.

Baadhi ya viongozi wa dini nao wamezungumzia kuhusu upotovu wa maadili kwa vijana wa kisasa pamoja na kuwaonya viongozi wa dini kujihusisha na masuala ya kisiasa kwani kwa kufanya hivyo kutasababisha mgawanyiko miongoni mwa waumini wao na kuleta malumbano yasiyo na tija kwao na taifa kwa ujumla.

Fungua hapa kusikiliza kauli ya RPC na RC dodoma juu ya mita 200 za Tume 


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :