Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » UNAIKUMBUKA YA SUAREZ, NA KISA CHA NYOSSO JE?! NAKULETEA NA HII YA FRANS MALHERB MCHEZAJI WA RAGA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Yale yake unaweza kusema hivyo baada ya mchezaji wa timu ya taifa ya mchezo wa raga ya Afrika Kusini kumng’ata mwenzake.


Kupitia picha iliyopigwa na Kevin Quigley, inaonyesha mchezaji wa Afrika Kusini ‘Springboks’, Frans Malherbe akididimiza meno yake kwneye bega la Matt Trouville wa timu ya taifa ya Marekani wakati wakiwania mpira.
 
Usisahau, siku chache zilizopita kumekuwa na gumzo la beki wa Mbeya City, Juma Nyosso kumtomasa makalio nahodha wa Azam FC, John Bocco. Tayari Nyosso amekumbana na adhabu ya kufungiwa miaka miwili na faini ya Sh milioni 2.
Hata hivyo, kitu kizuri zaidi, Trouville ambaye aling’atwa amewaeleza waamuzi kwamba hakumbuki kuhusiana na tukio hilo kwa kuwa alikuwa amevaa kifaa maalum cha kulinda mabega ambacho huvaliwa an wachezaji wa mchezo huo.



About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / UNAIKUMBUKA YA SUAREZ, NA KISA CHA NYOSSO JE?! NAKULETEA NA HII YA FRANS MALHERB MCHEZAJI WA RAGA

Yale yake unaweza kusema hivyo baada ya mchezaji wa timu ya taifa ya mchezo wa raga ya Afrika Kusini kumng’ata mwenzake.


Kupitia picha iliyopigwa na Kevin Quigley, inaonyesha mchezaji wa Afrika Kusini ‘Springboks’, Frans Malherbe akididimiza meno yake kwneye bega la Matt Trouville wa timu ya taifa ya Marekani wakati wakiwania mpira.
 
Usisahau, siku chache zilizopita kumekuwa na gumzo la beki wa Mbeya City, Juma Nyosso kumtomasa makalio nahodha wa Azam FC, John Bocco. Tayari Nyosso amekumbana na adhabu ya kufungiwa miaka miwili na faini ya Sh milioni 2.
Hata hivyo, kitu kizuri zaidi, Trouville ambaye aling’atwa amewaeleza waamuzi kwamba hakumbuki kuhusiana na tukio hilo kwa kuwa alikuwa amevaa kifaa maalum cha kulinda mabega ambacho huvaliwa an wachezaji wa mchezo huo.




«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :