Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » RAMOS NA MARCELO WAOMBA MSAMAHA REAL
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na mlinzi mwenza, Marcelo wamewaomba mashabiki wa klabu yao ya Madrid kuwasamehe kutokana na kipigo cha magoli 4-0 walichokipokea toka kwa mahasimu wao Fc Barcelona katika uwanja wa Santiago Bernabeu, mjini Madrid mwishoni mwa juma hili.

Ramos anasema, “kama wachezaji, tunaomba radhi sana kwa mashabiki wetu kwa kilichotokea. Tunajua vitendo vina nguvu kuliko Maneno, hivyo tunahitaji kuonesha uwanjani na kuwafariji mashabiki”.

Aidha mlinzi wa kushoto wa klabu hiyo Mbrazil Marcelo amesema hawakupoteza mchezo kwa sababu ya ‘attitude’ huku wakisisitiza kuwa morali iko juu na kwamba wanamuamini kocha wao Rafael Benitez ambaye hii ilikua ni El Classico yake ya kwanza.

Akiunga mkono kauli hiyo ya Marcelo, kiungo Luka Modric amesisitiza imani waliyonayo wachezaji kwa mwalimu wao Rafael Benitez, huku akikazia kuwa attitude yao kama wachezaji iko vizuri.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / RAMOS NA MARCELO WAOMBA MSAMAHA REAL


Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na mlinzi mwenza, Marcelo wamewaomba mashabiki wa klabu yao ya Madrid kuwasamehe kutokana na kipigo cha magoli 4-0 walichokipokea toka kwa mahasimu wao Fc Barcelona katika uwanja wa Santiago Bernabeu, mjini Madrid mwishoni mwa juma hili.

Ramos anasema, “kama wachezaji, tunaomba radhi sana kwa mashabiki wetu kwa kilichotokea. Tunajua vitendo vina nguvu kuliko Maneno, hivyo tunahitaji kuonesha uwanjani na kuwafariji mashabiki”.

Aidha mlinzi wa kushoto wa klabu hiyo Mbrazil Marcelo amesema hawakupoteza mchezo kwa sababu ya ‘attitude’ huku wakisisitiza kuwa morali iko juu na kwamba wanamuamini kocha wao Rafael Benitez ambaye hii ilikua ni El Classico yake ya kwanza.

Akiunga mkono kauli hiyo ya Marcelo, kiungo Luka Modric amesisitiza imani waliyonayo wachezaji kwa mwalimu wao Rafael Benitez, huku akikazia kuwa attitude yao kama wachezaji iko vizuri.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :