Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » SHEHENA ZA DAWA ZA KULEVYA {MILUNGI} ZAKAMATWA TANGA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Jeshi la Polisi mkoani Tanga limefanikiwa kukamata shehena ya dawa za kulevya aina ya mirungi kilo 462 iliyokuwa imehifadhiwa katika magunia aina ya viroba ikitokea Arusha kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusambazwa kwa mawakala kwa ajili ya kuuzwa kwa watumiaji.

Kamanda wa Polisi mkoani Tanga kamishna msaidizi wa Polisi Zubeir Mwombeji amesema katika tukio hilo jeshi la Polisi limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na shehena ya hiyo ya mirungi na kuwataja kwa majina kuwa ni dereva wa gari aina ya fuso lililokuwa limehifadhi mirungi na Aloyce Gabriel mkazi wa picha ya ndege Kibaha na Rashid Juma mkazi wa Mbauda mkoani Arusha.
 
Baadhi ya wakazi wa jiji la Tanga wakielezea hatua hiyo wamesema ili kudhibiti usambazaji na uuzaji wa dawa za kulevya aina ya mirungi ni vyema askari wa jeshi hilo wakaimarisha doria sehemu za mipakani ambapo wafanyabishara kutoka nchi jirani ya Kenya kwa kushirikiana na wenzao waliopo katika vijiji vilivopo pembeni mwa bahari ya Hindi mkoani Tanga wamekuwa wakipitisha bidhaa hiyo haramu kwa njia za panya pasipo kukamatwa.
 
Kufuatia hatua hiyo kamanda Mwombeji amewataka wafanyabiashara wenye magari ya mizigo na abiria kuachana na bishara ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kwa sababu jehsi la polisi litataifisha chombo cha usafiri kilichohusika na usafirishaji wa bidhaa hiyo haramu kisha watuhumiwa kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
 

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / SHEHENA ZA DAWA ZA KULEVYA {MILUNGI} ZAKAMATWA TANGA

Jeshi la Polisi mkoani Tanga limefanikiwa kukamata shehena ya dawa za kulevya aina ya mirungi kilo 462 iliyokuwa imehifadhiwa katika magunia aina ya viroba ikitokea Arusha kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusambazwa kwa mawakala kwa ajili ya kuuzwa kwa watumiaji.

Kamanda wa Polisi mkoani Tanga kamishna msaidizi wa Polisi Zubeir Mwombeji amesema katika tukio hilo jeshi la Polisi limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na shehena ya hiyo ya mirungi na kuwataja kwa majina kuwa ni dereva wa gari aina ya fuso lililokuwa limehifadhi mirungi na Aloyce Gabriel mkazi wa picha ya ndege Kibaha na Rashid Juma mkazi wa Mbauda mkoani Arusha.
 
Baadhi ya wakazi wa jiji la Tanga wakielezea hatua hiyo wamesema ili kudhibiti usambazaji na uuzaji wa dawa za kulevya aina ya mirungi ni vyema askari wa jeshi hilo wakaimarisha doria sehemu za mipakani ambapo wafanyabishara kutoka nchi jirani ya Kenya kwa kushirikiana na wenzao waliopo katika vijiji vilivopo pembeni mwa bahari ya Hindi mkoani Tanga wamekuwa wakipitisha bidhaa hiyo haramu kwa njia za panya pasipo kukamatwa.
 
Kufuatia hatua hiyo kamanda Mwombeji amewataka wafanyabiashara wenye magari ya mizigo na abiria kuachana na bishara ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kwa sababu jehsi la polisi litataifisha chombo cha usafiri kilichohusika na usafirishaji wa bidhaa hiyo haramu kisha watuhumiwa kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
 

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :