Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » HIZI HAPA KIMICHEZO KWA MUDA HUU, ZIPO ZA MOURINHO, BASTIAN NAKADHALIKA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



TP MAZEMBE

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe wamewasili mjini Osaka, Japan wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

Michuano hiyo Inaanza hapo kesho huko nchini Japan.

Vijana hao kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walishinda kombe la klabu bingwa Afrika mwezi uliopita.

Wataanza kampeni yao Osaka Jumapili dhidi ya mshindi wa mechi kati ya Sanfrecce Hiroshima na Auckland City FC ambayo itachezwa Alhamisi.

Mazembe walishangaza ulimwengu miaka mitano iliyopita walipofika fainali ya dimba hilo la dunia lakini wakashindwa na Inter Milan.


UEFA

Baada y ahapo jana kushuhudia moja ya timu zoefu kwenye mashindano ya UEFA ikiaga mashindano hayo{ Man united} leo hii pia tunatarajia kuona timu nyingine nyingi zikifanikiwa kusonga na nyingine nyingi zikiondolewa au kutupwa UEFA ndogo, Je! Chelsea, Arsenal, Psg Zitasonga au ndo kama man U kukimbilia EUROPA LEAGUE?

Hizi hapa ndizo zinazojimwaga leo usiku

Champions League - Group E

Bayer Leverkusen ? - ? Barcelona

Roma ? - ? BATE Borisov

Champions League - Group F

Dinamo Zagreb ? - ? Bayern Munich

Olympiacos ? - ? Arsenal

Champions League - Group G

Chelsea ? - ? FC Porto

Dynamo Kyiv ? - ? Maccabi Tel Aviv

Champions League - Group H

Gent ? - ? Zenit St. Petersburg

Valencia ? - ? Lyon
 *******************************************************************


SCHWEINSTEIGER

Kiungo wa Manchester United Bastian Schweinsteiger yupo hatarini kufungiwa Mechi 3 za ligi kuu ya England baada ya kufunguliwa Mashitaka na Chama cha Soka cha England FA , kwa kosa la Kinidhamu.

Schweinsteiger, mwenye Miaka 31, anadaiwa kumpiga Beki wa West Ham Winston Reid kwa Mkono wa Kushoto walipokuwa wakigombea Mpira wa Frikiki katika Dakika ya 40 kwenye Mechi ya Ligi Kuu England iliyomalizika 0-0 Jumamosi iliyopita.

Schweinsteiger amepewa hadi Alhamisi Saa 9 Mchana kukana au kukubali Mashitaka.
Refa wa Mechi hiyo, Mark Clattenburg, hakulitaja tukio hilo lakini aliongea na Wachezaji wote Wawili baada ya tukio lenyewe.

Katika Taarifa yao, FA imesema kuwa tukio hilo lilipitiwa na Marefa Watatu tofauti ambao kila mmoja aliafiki lilistahili Kadi Nyekundu na ndio maana wakafungua Mashitaka dhidi ya Schweinsteiger.

Laiti kama Refa Mark Clattenburg angelilitaja tukio hilo kwenye ripoti yake ya Mechi basi FA isingekuwa tena na mamlaka ya kulipitia na kumshitaki.

Ikiwa Schweinsteiger atafungiwa Mechi 3 atazikosa Mechi za Ligi dhidi ya Bournemouth, Norwich City na Stoke City na kurejea kwenye Mechi na Chelsea.

 **********************************************
NBA MAREKANI - JANA

Charlotte Hornets 104 Detroit Pistons 84

Philadelphia 76ers  68 San Antonio Spurs  119

Miami Heat 103 Washington Wizards 114

New York Knicks 97 Dallas Mavericks 104

Toronto Raptors 102 L. A. Lakers  93

Chicago Bulls 101 Phoenix Suns 103

Milwaukee Bucks 90  Portland Trail Blazers 88

Minnesota Timberwolves 106 L. A. Clippers  110

New Orleans Pelicans  93 Boston Celtics 111




 NBA LEO

Cleveland Cavaliers 105 Portland Trail Blazers 100

Indiana Pacers 123 Golden State Warriors 131
Brooklyn Nets 110 Houston Rockets 105

Memphis Grizzlies 88 Oklahoma City Thunder 125

Denver Nuggets 74 Orlando Magic 85

Sacramento Kings  114 Utah Jazz 106



NBA KESHO - December 10

03:00  Boston Celtics VS Chicago Bulls

03:00 Charlotte Hornets VS Miami Heat

03:00 Washington Wizards VS Houston Rockets

03:30 Detroit Pistons VS Memphis Grizzlies

03:30 Toronto Raptors VS San Antonio Spurs

04:00 Milwaukee Bucks VS L. A. Clippers

04:00 Minnesota Timberwolves VS L. A. Lakers

05:00 Phoenix Suns VS Orlando Magic

05:00 Utah Jazz VS New York Knicks

05:30  Dallas Mavericks VS Atlanta Hawks

 ***********************************************************

NDONDI 

Bingwa mpya wa dunia wa ndondi ya uzani mzito muingereza Tyson Fury amepokonywa taji lake la IBF takriban majuma mawili tangu aitwae.

Kisa na maana shirikisho la kimataifa la masumbwi IBF lilikuwa linataka apiganaje na mpinzani wake anayepigiwa upatu Vyacheslav Glazkov kabla ya kupigana na bondia yeyote yule.

Hata hivyo Fury aliyewatamausha wapenzi wa ndondi za uzani mzito kwa kumchapa bondia kutoka Ukraine Wladimir Klitschko na kutwaa mataji yote matatu ya ndondi ya IBF WBA na WBO.

Pigano hilo la Novemba tarehe 28 lilitamatisha udhibiti wa raia huyo wa Ukraine wa mikanda yote 3 ya ndondi iliokuwa imedumu kwa zaidi ya miaka 10.

Yamkini Fury alilazimika kupigana dhidi ya Wladimir Klitschko kutokana na kipenge cha mkataba waliotia sahihi na bondia huyo wa Ukraine.

Mwenyekiti wa shirikisho la ndondi la kimatafa IBF Lindsey Tucker, amethibitisha kuwa Fury amepokonywa ukanda huo wa uzani mzito.

Fury ambaye ameshinda mapigano 25 ya kulipwa amesalia na mikanda miwili ya WBA na ile ya WBO.

Ukanda mwngine wa uzani wa juu WBC unashikiliwa na bondia kutoka Marekani Deontay Wilder.

Kimsingi Ukanda huo wa IBF unarejea Ukraine kwani Glazkov, mwenye umri wa miaka 31 ni raia wa Ukraine,na ameshinda mapigano 21 kati ya 22 alizoshiriki.

 *****************************************************************


 MOURINHO VS ABRAMOVICH 
 
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovich yuko pamoja nae licha ya msimu mbovu wa mabingwa hao wa England.

Chelsea wapo mpaka wapo nafasi ya 14 kwenye Ligi Kuu England baada ya kufungwa Mechi 8 za Ligi kati ya 15 na bado kufuzu kutinga hatua ya muondoano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya, ambapo leo Jumatano Desemba 9 wanacheza Mechi ya mwisho ya Kundi lao na FC Porto wakihitaji Sare tu ili kusonga.

Akiongea kuelekea Mechi hii ya UCL, Mourinho, alipoulizwa kama atabakishwa kama Meneja wa Chelsea, alijibu: “Nadhani nimefanya mengi mazuri kwa Klabu hii. Sidhani Mmiliki ni Mtu anaeyumbayumba.”

Mourinho, ambae ni Mreno leo Jumatano anapambana na Klabu ya kwao Ureno FC Porto ambayo aliwahi kuwa Kocha wao, ameeleza: “Abaramovich ameniamini mara mbili.

Huku kukiwa na uvumi kuwa Mourinho atatimuliwa ikiwa atafungwa Mechi mbili mfululizo na Mechi ya leo na FC Porto na kufuatia fuatia kipigo cha Bournemouth, kwenye Mechi ya Ligi Jumamosi iliyopita.

Jumatatu ijayo, Chelsea itacheza na Vinara wa Ligi Leicester City.

Hii ni himaya ya Pili ya Mourinho akiwa na Chelsea baada ya kujiunga nayo tena Mwaka 2013 na kutwaa Ubingwa wa England na Capital One Cup.

Mara ya kwanza kuwa na Chelsea ilikuwa kati ya 2004 na 2007 ambapo alitwaa Ubingwa wa Ligi mara 2 FA CUP na Kombe la Ligi mara 2.







About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / HIZI HAPA KIMICHEZO KWA MUDA HUU, ZIPO ZA MOURINHO, BASTIAN NAKADHALIKA



TP MAZEMBE

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe wamewasili mjini Osaka, Japan wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

Michuano hiyo Inaanza hapo kesho huko nchini Japan.

Vijana hao kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walishinda kombe la klabu bingwa Afrika mwezi uliopita.

Wataanza kampeni yao Osaka Jumapili dhidi ya mshindi wa mechi kati ya Sanfrecce Hiroshima na Auckland City FC ambayo itachezwa Alhamisi.

Mazembe walishangaza ulimwengu miaka mitano iliyopita walipofika fainali ya dimba hilo la dunia lakini wakashindwa na Inter Milan.


UEFA

Baada y ahapo jana kushuhudia moja ya timu zoefu kwenye mashindano ya UEFA ikiaga mashindano hayo{ Man united} leo hii pia tunatarajia kuona timu nyingine nyingi zikifanikiwa kusonga na nyingine nyingi zikiondolewa au kutupwa UEFA ndogo, Je! Chelsea, Arsenal, Psg Zitasonga au ndo kama man U kukimbilia EUROPA LEAGUE?

Hizi hapa ndizo zinazojimwaga leo usiku

Champions League - Group E

Bayer Leverkusen ? - ? Barcelona

Roma ? - ? BATE Borisov

Champions League - Group F

Dinamo Zagreb ? - ? Bayern Munich

Olympiacos ? - ? Arsenal

Champions League - Group G

Chelsea ? - ? FC Porto

Dynamo Kyiv ? - ? Maccabi Tel Aviv

Champions League - Group H

Gent ? - ? Zenit St. Petersburg

Valencia ? - ? Lyon
 *******************************************************************


SCHWEINSTEIGER

Kiungo wa Manchester United Bastian Schweinsteiger yupo hatarini kufungiwa Mechi 3 za ligi kuu ya England baada ya kufunguliwa Mashitaka na Chama cha Soka cha England FA , kwa kosa la Kinidhamu.

Schweinsteiger, mwenye Miaka 31, anadaiwa kumpiga Beki wa West Ham Winston Reid kwa Mkono wa Kushoto walipokuwa wakigombea Mpira wa Frikiki katika Dakika ya 40 kwenye Mechi ya Ligi Kuu England iliyomalizika 0-0 Jumamosi iliyopita.

Schweinsteiger amepewa hadi Alhamisi Saa 9 Mchana kukana au kukubali Mashitaka.
Refa wa Mechi hiyo, Mark Clattenburg, hakulitaja tukio hilo lakini aliongea na Wachezaji wote Wawili baada ya tukio lenyewe.

Katika Taarifa yao, FA imesema kuwa tukio hilo lilipitiwa na Marefa Watatu tofauti ambao kila mmoja aliafiki lilistahili Kadi Nyekundu na ndio maana wakafungua Mashitaka dhidi ya Schweinsteiger.

Laiti kama Refa Mark Clattenburg angelilitaja tukio hilo kwenye ripoti yake ya Mechi basi FA isingekuwa tena na mamlaka ya kulipitia na kumshitaki.

Ikiwa Schweinsteiger atafungiwa Mechi 3 atazikosa Mechi za Ligi dhidi ya Bournemouth, Norwich City na Stoke City na kurejea kwenye Mechi na Chelsea.

 **********************************************
NBA MAREKANI - JANA

Charlotte Hornets 104 Detroit Pistons 84

Philadelphia 76ers  68 San Antonio Spurs  119

Miami Heat 103 Washington Wizards 114

New York Knicks 97 Dallas Mavericks 104

Toronto Raptors 102 L. A. Lakers  93

Chicago Bulls 101 Phoenix Suns 103

Milwaukee Bucks 90  Portland Trail Blazers 88

Minnesota Timberwolves 106 L. A. Clippers  110

New Orleans Pelicans  93 Boston Celtics 111




 NBA LEO

Cleveland Cavaliers 105 Portland Trail Blazers 100

Indiana Pacers 123 Golden State Warriors 131
Brooklyn Nets 110 Houston Rockets 105

Memphis Grizzlies 88 Oklahoma City Thunder 125

Denver Nuggets 74 Orlando Magic 85

Sacramento Kings  114 Utah Jazz 106



NBA KESHO - December 10

03:00  Boston Celtics VS Chicago Bulls

03:00 Charlotte Hornets VS Miami Heat

03:00 Washington Wizards VS Houston Rockets

03:30 Detroit Pistons VS Memphis Grizzlies

03:30 Toronto Raptors VS San Antonio Spurs

04:00 Milwaukee Bucks VS L. A. Clippers

04:00 Minnesota Timberwolves VS L. A. Lakers

05:00 Phoenix Suns VS Orlando Magic

05:00 Utah Jazz VS New York Knicks

05:30  Dallas Mavericks VS Atlanta Hawks

 ***********************************************************

NDONDI 

Bingwa mpya wa dunia wa ndondi ya uzani mzito muingereza Tyson Fury amepokonywa taji lake la IBF takriban majuma mawili tangu aitwae.

Kisa na maana shirikisho la kimataifa la masumbwi IBF lilikuwa linataka apiganaje na mpinzani wake anayepigiwa upatu Vyacheslav Glazkov kabla ya kupigana na bondia yeyote yule.

Hata hivyo Fury aliyewatamausha wapenzi wa ndondi za uzani mzito kwa kumchapa bondia kutoka Ukraine Wladimir Klitschko na kutwaa mataji yote matatu ya ndondi ya IBF WBA na WBO.

Pigano hilo la Novemba tarehe 28 lilitamatisha udhibiti wa raia huyo wa Ukraine wa mikanda yote 3 ya ndondi iliokuwa imedumu kwa zaidi ya miaka 10.

Yamkini Fury alilazimika kupigana dhidi ya Wladimir Klitschko kutokana na kipenge cha mkataba waliotia sahihi na bondia huyo wa Ukraine.

Mwenyekiti wa shirikisho la ndondi la kimatafa IBF Lindsey Tucker, amethibitisha kuwa Fury amepokonywa ukanda huo wa uzani mzito.

Fury ambaye ameshinda mapigano 25 ya kulipwa amesalia na mikanda miwili ya WBA na ile ya WBO.

Ukanda mwngine wa uzani wa juu WBC unashikiliwa na bondia kutoka Marekani Deontay Wilder.

Kimsingi Ukanda huo wa IBF unarejea Ukraine kwani Glazkov, mwenye umri wa miaka 31 ni raia wa Ukraine,na ameshinda mapigano 21 kati ya 22 alizoshiriki.

 *****************************************************************


 MOURINHO VS ABRAMOVICH 
 
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovich yuko pamoja nae licha ya msimu mbovu wa mabingwa hao wa England.

Chelsea wapo mpaka wapo nafasi ya 14 kwenye Ligi Kuu England baada ya kufungwa Mechi 8 za Ligi kati ya 15 na bado kufuzu kutinga hatua ya muondoano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya, ambapo leo Jumatano Desemba 9 wanacheza Mechi ya mwisho ya Kundi lao na FC Porto wakihitaji Sare tu ili kusonga.

Akiongea kuelekea Mechi hii ya UCL, Mourinho, alipoulizwa kama atabakishwa kama Meneja wa Chelsea, alijibu: “Nadhani nimefanya mengi mazuri kwa Klabu hii. Sidhani Mmiliki ni Mtu anaeyumbayumba.”

Mourinho, ambae ni Mreno leo Jumatano anapambana na Klabu ya kwao Ureno FC Porto ambayo aliwahi kuwa Kocha wao, ameeleza: “Abaramovich ameniamini mara mbili.

Huku kukiwa na uvumi kuwa Mourinho atatimuliwa ikiwa atafungwa Mechi mbili mfululizo na Mechi ya leo na FC Porto na kufuatia fuatia kipigo cha Bournemouth, kwenye Mechi ya Ligi Jumamosi iliyopita.

Jumatatu ijayo, Chelsea itacheza na Vinara wa Ligi Leicester City.

Hii ni himaya ya Pili ya Mourinho akiwa na Chelsea baada ya kujiunga nayo tena Mwaka 2013 na kutwaa Ubingwa wa England na Capital One Cup.

Mara ya kwanza kuwa na Chelsea ilikuwa kati ya 2004 na 2007 ambapo alitwaa Ubingwa wa Ligi mara 2 FA CUP na Kombe la Ligi mara 2.








«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :