Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MERKEL ATWAA TUZO YA MWAKA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Jarida la Time limemtaja Chansela wa Ujerumani Angela Merkel kuwa "Mtu mashuhuri wa Mwaka” 2015.
Jarida hilo limetaja mchango wake katika kutatua mzozo kuhusu wahamiaji Ulaya pamoja na mgogoro wa madeni wa Ugiriki kama moja ya mambo yaliyochangia kutawazwa kwake.

Kadhalika, jarida hilo limetaja kuingia kwa Urusi nchini Ukraine.

Bi Merkel ametoa “uongozi wa busara katika ulimwengu ambao umepungukiwa”, mhariri wa jarida hilo Nancy Gibbs ameandika.

Kiongozi wa kundi la wapiganaji linalojiita Islamic State Abu Bakr al-Baghdadi ametajwa kuwa wa pili, huku nafasi ya tatu ikichukuliwa na Donald Trump, anayesaka tiketi ya kuwania urais Marekani kupitia chama cha Republican.

Bi Merkel amejiunga na washindi wa awali wakiwemo Adolf Hitler, Joseph Stalin, Mahatma Gandhi, Winston Churchill na Richard Nixon.
Tuzo ya mwaka jana ilikabidhiwa matabibu waliosaidia kukabilina na mkurupuko wa Ebola Afrika Magharibi.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MERKEL ATWAA TUZO YA MWAKA

Jarida la Time limemtaja Chansela wa Ujerumani Angela Merkel kuwa "Mtu mashuhuri wa Mwaka” 2015.
Jarida hilo limetaja mchango wake katika kutatua mzozo kuhusu wahamiaji Ulaya pamoja na mgogoro wa madeni wa Ugiriki kama moja ya mambo yaliyochangia kutawazwa kwake.

Kadhalika, jarida hilo limetaja kuingia kwa Urusi nchini Ukraine.

Bi Merkel ametoa “uongozi wa busara katika ulimwengu ambao umepungukiwa”, mhariri wa jarida hilo Nancy Gibbs ameandika.

Kiongozi wa kundi la wapiganaji linalojiita Islamic State Abu Bakr al-Baghdadi ametajwa kuwa wa pili, huku nafasi ya tatu ikichukuliwa na Donald Trump, anayesaka tiketi ya kuwania urais Marekani kupitia chama cha Republican.

Bi Merkel amejiunga na washindi wa awali wakiwemo Adolf Hitler, Joseph Stalin, Mahatma Gandhi, Winston Churchill na Richard Nixon.
Tuzo ya mwaka jana ilikabidhiwa matabibu waliosaidia kukabilina na mkurupuko wa Ebola Afrika Magharibi.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :