Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » » MALKIA WA DOM NA KIWEWE ALICHOWATIA WANA MITANDAO YA KIJAMII DODOMA........HATARI TUPUUU!!!!
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Ni jambo la kawaida kuziona picha za aina tofauti katika mitandao ya kijamii kama Instagram, Tweeter na hata FB, na haya yote hupatikana katika makundi { Magroup y aMitandao hii, ukikutana na makundi ya kishenzi kwa bahati mbaya utakutana na post nyingi za "NAOMBENI MNITOE HUMU" lakini mwisho ukisha yazoea unaanza kuyasoma na kucheka kwani watu hutumia akili zao za usiku kuzifanya shughuli za mchana.

lakini pia kuna watu wanao weka mijadala ya hatari hata kuhisi unachati na jini au jambazi lakini kumbe ni mtu mstaarabu au ukadhani unachati na mtu wa mungu au mstaarabu kumbe na shetani, majina nayo yamekuwa ni kigezo cha kupost lugha unayojiskia kama ukitumia jina lisilo lako, sasa watsapp kuna kituko kinachoendelea ambacho hata Mwajuma Ismail anakijua na kimemkuta lakini kwakuwa nae ni SHIDA ameshindana nacho na kukishinda story iko hivi!!!

 Ukizunguka kwenye makundi mengi ya watsap vijana wa mkoa wa dodoma hususani wanao jihusisha na masuala ya burudani story kubwa ni  MALKIA WA DOM NDIO NANI? wakijaribu kuweka mada ambazo zikiijadili account ya instagram ambayo inatumia jina la MALKIA WA DOM.
account hii imekuwa gumzo kutokana na mada pamoja na picha ambazo huzipost mmiliki wa account hii ambaye hajulikani mpaka sasa lakini kinacho endelea ni kila mtu kutaja mtu anae muhisi kuwa ndiye mmiliki wa account hiyo.

Account hii imefanikiwa kuwa maarufu kwa muda mfupi kutokana na mambo ambayo hupostiwa humo kugeuka kuwa gumzo mitandaoni huku baadhi ya watu wengine huishia kutukanana kwa kuyavulia maji yasiyo wahusu.

SASA BASI unaambiwa usiombe upostiwe au uonekane sura yako kwenye account hii ni balaa moja unaweza ukasifiwa au ukaliona joto lajiwe, ila kwa kukandiwa ndio mara nyingi zaidi kwani mmiliki wa account hiyo fomula yake inaonekana kuwa ni lolote lililo kaa ovyo kwenye tasnia mbalimbali mkoani dodoma. huku zaidi akidili na wanamuziki pamoja na waigizaji na wengine wanao shabiana kwenye hayo mambo.

Wapo wengi waliloliona joto la jiwe akiwemo ONESIX msanii wa muziki akituhumiwa kupiga show mbaya kwenye tamasha la Dodoma Festival 2015 lililo andaliwa na kituo cha radio Dodoma Fm radio, Mambo si mambo ndipo msanii wakuitwa RHODA nae alikumbana na jinamizi hilo kwa kuambiwa hajui kuimba na kusababisha mpaka kijana huyo kutangaza kuacha kuimba tena baada ya hayo kutokea ndipo mtangazaji wa radio toka Rasi fm alipo ingilia kati na kuanza kutoa matusi kwa mtu ambaye hata hamjui kwenye mitandao ya kijamii eti anamfahamu uyo mmliki wa account hiyo lakini mpaka sasa hakuna jibu lolote alilolitoa ni sawa alikuwa anatwanga maji kwenye kinu.

jinamizi hilo pia lilitua kwa muigizaji  wa bongo movie kwakushutumiwa kuwa alipost picha ya show ya dodoma festival wakati muda umepita huku waandaji wa show hiyo wakila dongo kwa kumwita rachel ni super star wakati hata jamatini hajulikani duuuh ni balaa.

hayo ni baadhi kati ya mambo mengi ambayo huandikwa kwenye account hiyo.
 

Account hiyo imesababisha baadhi ya watu kutoelewana kama Sonnatha Nduka toka nyemo fm VS Onesix, huku Raph tz VS Dizzy swags.
wapo baadhi ya watu wametokea kuipongeza account hiyo kwa kuandika ukweli juu ya madudu yanayoendelea kwenye jamii na tasnia mbalimbli dodoma huku wengine wakidai inadhalilisha watu kwani hutumia majina ya watu bila taarifa pia hutumia picha za watu bila kuwajulisha kitu ambacho ni kosa kubwa kisheria.

Ukweli ni kwamba hakuna anae penda kukosolewa kwa mabaya bali watu wanapenda kusifiwa muda wote sasa basi anae penda kukosolewa hawezi kuichukia account hiyo ya Malkia WAdom kwani ipo kwa lengo la kuwarekebisha watu wafanye vitu vizuri lakini sio sawa kutumia majina ya watu kwa story za uongo au zisizo na faida kwa jamii inayopelekewa ujumbe husika.

pia kwa ushauri tu, mmiliki wa aacount hiyo uwe unajitahidi kutumia lugha nzuri kidogo ili wenzako wasikuchie maana lugha yako tata husababisha  matusi kumwagika pia kitendo cha kutumia picha za watu bila taarifa hilo nalo ni kosa kisheria.

Na kumbuka tu kama ukiwa na lengo zuri katika account hii basi tumia lugha za maana ili hata mamlaka za sheria ikiwemo mamlaka ya mawasiliano {TCRA} Isiamue kukutafuta na kukuchukulia hatua za kisheria pamoja na wadau wengine walioonja Joto la jiwe kukufahamu na ukaingia anga zao maana sipatii picha kwa kitakachotokea mfano watu kama   SONNATA ABDALA, DIZZY SWAGS na wengine ambao wameambiwa ni wahusika wa aacount hiyo watakumaliza ikiwa hawahusiki na hilo na Vipi kuhusu Kichuna na One Six?!!!!.

 AHAHAHAHAHA!!!!! HII MITANDAO BWANA MI NITAINGIA KESHO KWA LEO NIACHE NIJIPUMZISHE KWANZA!!!!!

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / / MALKIA WA DOM NA KIWEWE ALICHOWATIA WANA MITANDAO YA KIJAMII DODOMA........HATARI TUPUUU!!!!

Ni jambo la kawaida kuziona picha za aina tofauti katika mitandao ya kijamii kama Instagram, Tweeter na hata FB, na haya yote hupatikana katika makundi { Magroup y aMitandao hii, ukikutana na makundi ya kishenzi kwa bahati mbaya utakutana na post nyingi za "NAOMBENI MNITOE HUMU" lakini mwisho ukisha yazoea unaanza kuyasoma na kucheka kwani watu hutumia akili zao za usiku kuzifanya shughuli za mchana.

lakini pia kuna watu wanao weka mijadala ya hatari hata kuhisi unachati na jini au jambazi lakini kumbe ni mtu mstaarabu au ukadhani unachati na mtu wa mungu au mstaarabu kumbe na shetani, majina nayo yamekuwa ni kigezo cha kupost lugha unayojiskia kama ukitumia jina lisilo lako, sasa watsapp kuna kituko kinachoendelea ambacho hata Mwajuma Ismail anakijua na kimemkuta lakini kwakuwa nae ni SHIDA ameshindana nacho na kukishinda story iko hivi!!!

 Ukizunguka kwenye makundi mengi ya watsap vijana wa mkoa wa dodoma hususani wanao jihusisha na masuala ya burudani story kubwa ni  MALKIA WA DOM NDIO NANI? wakijaribu kuweka mada ambazo zikiijadili account ya instagram ambayo inatumia jina la MALKIA WA DOM.
account hii imekuwa gumzo kutokana na mada pamoja na picha ambazo huzipost mmiliki wa account hii ambaye hajulikani mpaka sasa lakini kinacho endelea ni kila mtu kutaja mtu anae muhisi kuwa ndiye mmiliki wa account hiyo.

Account hii imefanikiwa kuwa maarufu kwa muda mfupi kutokana na mambo ambayo hupostiwa humo kugeuka kuwa gumzo mitandaoni huku baadhi ya watu wengine huishia kutukanana kwa kuyavulia maji yasiyo wahusu.

SASA BASI unaambiwa usiombe upostiwe au uonekane sura yako kwenye account hii ni balaa moja unaweza ukasifiwa au ukaliona joto lajiwe, ila kwa kukandiwa ndio mara nyingi zaidi kwani mmiliki wa account hiyo fomula yake inaonekana kuwa ni lolote lililo kaa ovyo kwenye tasnia mbalimbali mkoani dodoma. huku zaidi akidili na wanamuziki pamoja na waigizaji na wengine wanao shabiana kwenye hayo mambo.

Wapo wengi waliloliona joto la jiwe akiwemo ONESIX msanii wa muziki akituhumiwa kupiga show mbaya kwenye tamasha la Dodoma Festival 2015 lililo andaliwa na kituo cha radio Dodoma Fm radio, Mambo si mambo ndipo msanii wakuitwa RHODA nae alikumbana na jinamizi hilo kwa kuambiwa hajui kuimba na kusababisha mpaka kijana huyo kutangaza kuacha kuimba tena baada ya hayo kutokea ndipo mtangazaji wa radio toka Rasi fm alipo ingilia kati na kuanza kutoa matusi kwa mtu ambaye hata hamjui kwenye mitandao ya kijamii eti anamfahamu uyo mmliki wa account hiyo lakini mpaka sasa hakuna jibu lolote alilolitoa ni sawa alikuwa anatwanga maji kwenye kinu.

jinamizi hilo pia lilitua kwa muigizaji  wa bongo movie kwakushutumiwa kuwa alipost picha ya show ya dodoma festival wakati muda umepita huku waandaji wa show hiyo wakila dongo kwa kumwita rachel ni super star wakati hata jamatini hajulikani duuuh ni balaa.

hayo ni baadhi kati ya mambo mengi ambayo huandikwa kwenye account hiyo.
 

Account hiyo imesababisha baadhi ya watu kutoelewana kama Sonnatha Nduka toka nyemo fm VS Onesix, huku Raph tz VS Dizzy swags.
wapo baadhi ya watu wametokea kuipongeza account hiyo kwa kuandika ukweli juu ya madudu yanayoendelea kwenye jamii na tasnia mbalimbli dodoma huku wengine wakidai inadhalilisha watu kwani hutumia majina ya watu bila taarifa pia hutumia picha za watu bila kuwajulisha kitu ambacho ni kosa kubwa kisheria.

Ukweli ni kwamba hakuna anae penda kukosolewa kwa mabaya bali watu wanapenda kusifiwa muda wote sasa basi anae penda kukosolewa hawezi kuichukia account hiyo ya Malkia WAdom kwani ipo kwa lengo la kuwarekebisha watu wafanye vitu vizuri lakini sio sawa kutumia majina ya watu kwa story za uongo au zisizo na faida kwa jamii inayopelekewa ujumbe husika.

pia kwa ushauri tu, mmiliki wa aacount hiyo uwe unajitahidi kutumia lugha nzuri kidogo ili wenzako wasikuchie maana lugha yako tata husababisha  matusi kumwagika pia kitendo cha kutumia picha za watu bila taarifa hilo nalo ni kosa kisheria.

Na kumbuka tu kama ukiwa na lengo zuri katika account hii basi tumia lugha za maana ili hata mamlaka za sheria ikiwemo mamlaka ya mawasiliano {TCRA} Isiamue kukutafuta na kukuchukulia hatua za kisheria pamoja na wadau wengine walioonja Joto la jiwe kukufahamu na ukaingia anga zao maana sipatii picha kwa kitakachotokea mfano watu kama   SONNATA ABDALA, DIZZY SWAGS na wengine ambao wameambiwa ni wahusika wa aacount hiyo watakumaliza ikiwa hawahusiki na hilo na Vipi kuhusu Kichuna na One Six?!!!!.

 AHAHAHAHAHA!!!!! HII MITANDAO BWANA MI NITAINGIA KESHO KWA LEO NIACHE NIJIPUMZISHE KWANZA!!!!!


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :