Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MTUHUMIWA WA MAUAJI YA RWANDA AKAMATWA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Marekani inasema kuwa mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika pakubwa katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, amekamatwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Ladislas Ntaganzwa, ambaye ni meya wa zamani, anatuhumiwa kwa kuwaua maelfu ya watu na kupanga ubakaji wa jumla mwaka huo wa 1994.

Ni mmoja kati ya washukiwa tisa wakuu wanaosakwa na Umoja wa Mataifa.
Wengine wanane bado hawajulikani waliko.

Marekani ilikuwa imeahidi zawadi ya dola 5 milioni kwa atakayesaidia kukamatwa kwake.
Idara ya ulinzi nchini Rwanda imekuwa ikimtuhumu kwa kuwa mchochezi mkuu na mpangaji wa mauaji ya kimbari katika wilaya ya Butare, kusini mwa Rwanda.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MTUHUMIWA WA MAUAJI YA RWANDA AKAMATWA

Marekani inasema kuwa mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika pakubwa katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, amekamatwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Ladislas Ntaganzwa, ambaye ni meya wa zamani, anatuhumiwa kwa kuwaua maelfu ya watu na kupanga ubakaji wa jumla mwaka huo wa 1994.

Ni mmoja kati ya washukiwa tisa wakuu wanaosakwa na Umoja wa Mataifa.
Wengine wanane bado hawajulikani waliko.

Marekani ilikuwa imeahidi zawadi ya dola 5 milioni kwa atakayesaidia kukamatwa kwake.
Idara ya ulinzi nchini Rwanda imekuwa ikimtuhumu kwa kuwa mchochezi mkuu na mpangaji wa mauaji ya kimbari katika wilaya ya Butare, kusini mwa Rwanda.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :