Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ALSHAABAB YAWAZUIA WANAJESHI WAKENYA???
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Kundi la wapiganji wa Alshabaab limesema kuwa linazuia kile linachokitaja ni wafungwa wa vita kutoka Kenya kufuatia shambulio lao katika kambi ya kijeshi kusini mwa Somalia.
Alshabaab ambao waliivamia kambi hiyo wamesema kuwa wanajeshi 100 wanaohudumu katika muungano wa Afrika waliuawa.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alisema siku ya ijumaa kwamba baadhi ya wanajeshi wa Kenya waliuawa lakini hakutoa idadi yao.

Al Shabaab wamesema kuwa ni mara ya kwanza kwa kikosi chake cha Saleh Ali Saleh Nabhan kutekeleza shambulio ndani ya Somalia.
Mashambulizi yake mengine yamekuwa nchini Uganda na Kenya.
Saleh Ali Saleh Nabhan alikuwa kiongozi wa kundi la al Qaeda katika eneo la Afrika mashariki ambaye aliuawa katika shambulio la Marekani nchini Somalia mwaka 2009.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ALSHAABAB YAWAZUIA WANAJESHI WAKENYA???

Kundi la wapiganji wa Alshabaab limesema kuwa linazuia kile linachokitaja ni wafungwa wa vita kutoka Kenya kufuatia shambulio lao katika kambi ya kijeshi kusini mwa Somalia.
Alshabaab ambao waliivamia kambi hiyo wamesema kuwa wanajeshi 100 wanaohudumu katika muungano wa Afrika waliuawa.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alisema siku ya ijumaa kwamba baadhi ya wanajeshi wa Kenya waliuawa lakini hakutoa idadi yao.

Al Shabaab wamesema kuwa ni mara ya kwanza kwa kikosi chake cha Saleh Ali Saleh Nabhan kutekeleza shambulio ndani ya Somalia.
Mashambulizi yake mengine yamekuwa nchini Uganda na Kenya.
Saleh Ali Saleh Nabhan alikuwa kiongozi wa kundi la al Qaeda katika eneo la Afrika mashariki ambaye aliuawa katika shambulio la Marekani nchini Somalia mwaka 2009.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :