Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » EAC YATAKIWA KUZUIA UINGIZWAJI SILAHA BURUNDI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Wajumbe wanaoshiriki katika mazungumzo ya kujadili mgogoro wa kisiasa wa Burundi yanayoendelea jijini Arusha wameitaka jumuiya ya Afrika mashariki kuziba mianya inayotumika kupitisha silaha kwani   asilimia kubwa ndizo zinazotumika kuangamiza watu wasio na hatia nchini Burundi. 

Wakizungumza katika kikao kinachoendelea jijini Arusha baadhi ya wajumbe hao wamesema wamepata taarifa za kuwepo kwa silaha  haramu zinazotumika kuangamiza wananchi wasio na hatia nchini Burundi zinazoingizwa kupitia kwenye baadhi ya bandari ikiwemo ya  Dar es Saalam.
Aidha wamesema wana mategemeo makubwa na serikali za Tanzania  na Kenya katika kufanikisha upatikanaji wa suluhu nchini Burundi na  pia wameiomba kuyafanyika kazi madai ya upitishaji wa silaha hasa  ikizingatiwa kuwa asilimia kubwa ya mizigo inayoingia nchini Burundi  inapitia katika bandari za Dar es Saalam na Mombasa.
Baada ya mjadala mkali mwenyekiti wa kamati hiyo Bw. Abdulah  Mwinyi pamoja na kuwataka  wajumbe kuthibitisha ukweli wa madai  hayo ameendelea kusisitiza kuwa hoja zote zilizotolewa zitafanyiwa  kazi na vikao vya ngazi zinazohusika kikiwemo cha bunge, baraza la  mawaziri na cha wakuu wa nchi wanachama.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / EAC YATAKIWA KUZUIA UINGIZWAJI SILAHA BURUNDI


Wajumbe wanaoshiriki katika mazungumzo ya kujadili mgogoro wa kisiasa wa Burundi yanayoendelea jijini Arusha wameitaka jumuiya ya Afrika mashariki kuziba mianya inayotumika kupitisha silaha kwani   asilimia kubwa ndizo zinazotumika kuangamiza watu wasio na hatia nchini Burundi. 

Wakizungumza katika kikao kinachoendelea jijini Arusha baadhi ya wajumbe hao wamesema wamepata taarifa za kuwepo kwa silaha  haramu zinazotumika kuangamiza wananchi wasio na hatia nchini Burundi zinazoingizwa kupitia kwenye baadhi ya bandari ikiwemo ya  Dar es Saalam.
Aidha wamesema wana mategemeo makubwa na serikali za Tanzania  na Kenya katika kufanikisha upatikanaji wa suluhu nchini Burundi na  pia wameiomba kuyafanyika kazi madai ya upitishaji wa silaha hasa  ikizingatiwa kuwa asilimia kubwa ya mizigo inayoingia nchini Burundi  inapitia katika bandari za Dar es Saalam na Mombasa.
Baada ya mjadala mkali mwenyekiti wa kamati hiyo Bw. Abdulah  Mwinyi pamoja na kuwataka  wajumbe kuthibitisha ukweli wa madai  hayo ameendelea kusisitiza kuwa hoja zote zilizotolewa zitafanyiwa  kazi na vikao vya ngazi zinazohusika kikiwemo cha bunge, baraza la  mawaziri na cha wakuu wa nchi wanachama.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :