Nyota wa filamu za Bollywood Sanjay Dutt ameachiwa huru kutoka jela katika mji wa magharibi wa Pune nchini India.
staa huyo wa filamu za Dhamaal (2007), Shootout at Lokhandwala (2007), All the Best (2009), Double Dhamaal (2011), Son of Sardaar (2012) and Agneepath (2012) alipatikana na hatia ya kununua silaha hiyo kutoka kwa walipuaji ,lakini akasema kwamba silaha hizo zilikuwa muhimu kwa lengo la kuilinda familia yake wakati wa ghasia za Waislamu dhidi ya Hindu.
Nyota huyo baadaye alipelekwa hadi katika jela ya Pune mwaka 2013 ili kukamilisha kipindi chake cha miaka mitrano.
Hata hivyo alipewa msahama wa siku 144 baada ya kuonekana kuwa na tabia njema na vitendo kama vile kusimamia kipindi cha redio.
No comments
Post a Comment