Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » KASISI MWENYE ASILI YA AFRIKA AJIUZULU NCHINI UJERUMANI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Kasisi mkatoliki mzaliwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kati DRC amelazimika kujiuzulu kazi yake nchini Ujerumani baada ya kutishiwa maisha.
Kasisi Olivier Ndjimbi-Tshiende, 66, aliwaambia waumini katika misa ya jumapili katika mji wa Zorneding, iliyoko Munich katika jimbo la Bavaria kuwa amepokea vitisho dhidi ya maisha yake na kuwa hotuba hiyo ndio iliyokuwa yake ya mwisho.
Kasisi huyo ambaye alianza kuhubiri mjini humo mwaka wa 2012.
''Kwa kweli tumepigwa na butwa kufuatia vitisho hivyo dhidi ya maisha ya kasisi Ndjimbi-Tshiende'' taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya kanisa hilo inasema.
Uhasama umeibuka kati ya kasisi Ndjimbi-Tshiende na wanasiasa wa jimbo hilo wanaoshikilia msimamo mkali wa chama cha CSU.
Yamkini kasisi huyo Ndjimbi-Tshiende alitofautiana na kiongozi wa chama hicho cha CSU Sylvia Boher mwezi Oktoba kufuatia matamshi yake.
Boher alikuwa amezungumzia kuhusu uvamizi wa wahamiaji kutoka Eritrea waliokuwa wametoroka kutumikia jeshi la taifa lao.
Baada ya maoni hayo ya kasisi Ndjimbi-Tshiende, mwanasiasa wa chama cha CSU rafiki ya Boher, bwana Johann Haindl, alimtusi kasisi huyo hadharani.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / KASISI MWENYE ASILI YA AFRIKA AJIUZULU NCHINI UJERUMANI

Kasisi mkatoliki mzaliwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kati DRC amelazimika kujiuzulu kazi yake nchini Ujerumani baada ya kutishiwa maisha.
Kasisi Olivier Ndjimbi-Tshiende, 66, aliwaambia waumini katika misa ya jumapili katika mji wa Zorneding, iliyoko Munich katika jimbo la Bavaria kuwa amepokea vitisho dhidi ya maisha yake na kuwa hotuba hiyo ndio iliyokuwa yake ya mwisho.
Kasisi huyo ambaye alianza kuhubiri mjini humo mwaka wa 2012.
''Kwa kweli tumepigwa na butwa kufuatia vitisho hivyo dhidi ya maisha ya kasisi Ndjimbi-Tshiende'' taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya kanisa hilo inasema.
Uhasama umeibuka kati ya kasisi Ndjimbi-Tshiende na wanasiasa wa jimbo hilo wanaoshikilia msimamo mkali wa chama cha CSU.
Yamkini kasisi huyo Ndjimbi-Tshiende alitofautiana na kiongozi wa chama hicho cha CSU Sylvia Boher mwezi Oktoba kufuatia matamshi yake.
Boher alikuwa amezungumzia kuhusu uvamizi wa wahamiaji kutoka Eritrea waliokuwa wametoroka kutumikia jeshi la taifa lao.
Baada ya maoni hayo ya kasisi Ndjimbi-Tshiende, mwanasiasa wa chama cha CSU rafiki ya Boher, bwana Johann Haindl, alimtusi kasisi huyo hadharani.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :