Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MAPIGANO YAMEZUKAKIDAL NCHINI MALI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Wapiganaji kutoka moja ya makundi yanayopigana kwenye mji wa Kidal,Mali
Kundi la wanamgambo la Tuareg linaloungwa mkono na Serikali linasemekana kuchukua udhibiti wa mji wa kaskazini wa Kidal nchini Mali.

Kundi la wanamgambo la Tuareg linaloungwa mkono na Serikali linasemekana kuchukua udhibiti wa mji wa kaskazini wa Kidal nchini Mali, baada ya mapigano kuzuka na kundi lilioundwa na watu waliokuwa waasi wa Tuareg.

Mtu alieshuhudia wamesema kuwa wapiganaji wa Gatia walikuwa wakifanya msako kwenye mji huo Alhamisi jioni ili kuwasaka waasi waliojificha.Hata hivyo hali mjini humo ingali haieleweki na haijabainika kama kuna majeruhi wowote.

Kiongozi wa muungano wa Tuareg Ambeyri Ag Rissa,ameambia maafisa wa VOA kuwa alikuwa akitoka kwenye mkutano kuhusu uuwiano uliotiwa saini Jumapili kuhusu ugavi wa udhibiti kwenye mji huo baada ya mapigano kuzuka. Milio ya risasi ilisikika nyuma yake wakati akizungumza.

Hali mjini humo imebaki kuwa tete hata baada ya mkataba huo kutiwa saini huku pande zote zikilaumiana kwa kuzuka tena kwa mapigano

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MAPIGANO YAMEZUKAKIDAL NCHINI MALI

Wapiganaji kutoka moja ya makundi yanayopigana kwenye mji wa Kidal,Mali
Kundi la wanamgambo la Tuareg linaloungwa mkono na Serikali linasemekana kuchukua udhibiti wa mji wa kaskazini wa Kidal nchini Mali.

Kundi la wanamgambo la Tuareg linaloungwa mkono na Serikali linasemekana kuchukua udhibiti wa mji wa kaskazini wa Kidal nchini Mali, baada ya mapigano kuzuka na kundi lilioundwa na watu waliokuwa waasi wa Tuareg.

Mtu alieshuhudia wamesema kuwa wapiganaji wa Gatia walikuwa wakifanya msako kwenye mji huo Alhamisi jioni ili kuwasaka waasi waliojificha.Hata hivyo hali mjini humo ingali haieleweki na haijabainika kama kuna majeruhi wowote.

Kiongozi wa muungano wa Tuareg Ambeyri Ag Rissa,ameambia maafisa wa VOA kuwa alikuwa akitoka kwenye mkutano kuhusu uuwiano uliotiwa saini Jumapili kuhusu ugavi wa udhibiti kwenye mji huo baada ya mapigano kuzuka. Milio ya risasi ilisikika nyuma yake wakati akizungumza.

Hali mjini humo imebaki kuwa tete hata baada ya mkataba huo kutiwa saini huku pande zote zikilaumiana kwa kuzuka tena kwa mapigano

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :