Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MWAFRIKA ALIYEFIA KIZUIZINI UFARANSA AZUA MAANDAMANO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Maafisa wa polisi katika mji wa Beaumont-sur-Oise, Ufaransa wamekabiliana na waandamanaji baada ya kijana mweusi kufariki akiwa kizuizini.

Mabomu ya petroli yamerushiwa maafisa wa polisi na taarifa zinazema waandamanaji walijaribu kuteketeza ukumbi wa mji.

Watu wanane wamekamatwa na kuzuiliwa.

Polisi wanasema Adama Traore alipata mshtuko wa moyo Jumanne baada yake kuzuiliwa katika mji huo ulioko kilomita thelathini kaskazini mwa Paris.

Lakini marafiki zake wanasema alikuwa buheri wa afya kabla ya kukamatwa na kwamba alipigwa na maafisa hao wa polisi.

Uchunguzi wa kubaini chanzo cha kifo chake utafanywa baadaye Alhamisi.

Miaka 11 iliyopita, vifo vya vijana wawili waliokuwa wakijaribu kukwepa kukamatwa vilisababisha maandamano yaliyodumu wiki mbili katika viunga vya mji wa Paris na miji mingine nchini humo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MWAFRIKA ALIYEFIA KIZUIZINI UFARANSA AZUA MAANDAMANO

Maafisa wa polisi katika mji wa Beaumont-sur-Oise, Ufaransa wamekabiliana na waandamanaji baada ya kijana mweusi kufariki akiwa kizuizini.

Mabomu ya petroli yamerushiwa maafisa wa polisi na taarifa zinazema waandamanaji walijaribu kuteketeza ukumbi wa mji.

Watu wanane wamekamatwa na kuzuiliwa.

Polisi wanasema Adama Traore alipata mshtuko wa moyo Jumanne baada yake kuzuiliwa katika mji huo ulioko kilomita thelathini kaskazini mwa Paris.

Lakini marafiki zake wanasema alikuwa buheri wa afya kabla ya kukamatwa na kwamba alipigwa na maafisa hao wa polisi.

Uchunguzi wa kubaini chanzo cha kifo chake utafanywa baadaye Alhamisi.

Miaka 11 iliyopita, vifo vya vijana wawili waliokuwa wakijaribu kukwepa kukamatwa vilisababisha maandamano yaliyodumu wiki mbili katika viunga vya mji wa Paris na miji mingine nchini humo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :