Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » UCHAGUZI IVORY COAST: UPIGAJI KURA WACHELEWA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Upigaji kura umechelewa kuanza katika maeneo kadhaa ya Ivory Coast, katika uchaguzi wa wabunge, kwa sababu za usafiri.

Raia zaidi ya milioni 6 wataamua iwapo watampa kura nyingi rais Alassane Ouattara na serikali ya mseto, kama alivowaomba.

Tofauti na uchaguzi wa miaka mitano iliyopita, karibu upinzani wote unashiriki katika uchaguzi huu, pamoja na tawi moja la chama cha rais wa zamani, Laurent Gbagbo.

Laurent Gbagbo, anafanyiwa kesi na mahakama ya Kimataifa, ICC, kwa mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / UCHAGUZI IVORY COAST: UPIGAJI KURA WACHELEWA


Upigaji kura umechelewa kuanza katika maeneo kadhaa ya Ivory Coast, katika uchaguzi wa wabunge, kwa sababu za usafiri.

Raia zaidi ya milioni 6 wataamua iwapo watampa kura nyingi rais Alassane Ouattara na serikali ya mseto, kama alivowaomba.

Tofauti na uchaguzi wa miaka mitano iliyopita, karibu upinzani wote unashiriki katika uchaguzi huu, pamoja na tawi moja la chama cha rais wa zamani, Laurent Gbagbo.

Laurent Gbagbo, anafanyiwa kesi na mahakama ya Kimataifa, ICC, kwa mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :