Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » UN YASHINDWA KUIWEKEA SUDAN KUSINI VIKWAZO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limekataa azimio lililoungwa mkono na Marekani la kuiwekea vikwazo vya silaha taifa la Sudan Kusini, licha na onnyo kuwa huenda taifa hilo likakumbwa na mauaji ya halaiki.
Azimio hilo lilipata kura saba ya kura 15 na kukosa kufikisha kura tisa ambazo zinahitajika kupitishwa azimio.
Nchi nane zikiwemo Urusi,China na Japan hazikupiga kura.
Mapigano kati ya vikosi watiifu kwa rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na makamu wa rais aliyefutwa kazi Riek Machar, yalizuka mwezi Disemba mwaka 2013 na kusababisha nchi hiyo kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / UN YASHINDWA KUIWEKEA SUDAN KUSINI VIKWAZO

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limekataa azimio lililoungwa mkono na Marekani la kuiwekea vikwazo vya silaha taifa la Sudan Kusini, licha na onnyo kuwa huenda taifa hilo likakumbwa na mauaji ya halaiki.
Azimio hilo lilipata kura saba ya kura 15 na kukosa kufikisha kura tisa ambazo zinahitajika kupitishwa azimio.
Nchi nane zikiwemo Urusi,China na Japan hazikupiga kura.
Mapigano kati ya vikosi watiifu kwa rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na makamu wa rais aliyefutwa kazi Riek Machar, yalizuka mwezi Disemba mwaka 2013 na kusababisha nchi hiyo kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :