Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MERKEL ATAKA KUFAHAMU ZAIDI KUHUSU MSHAMBULIZI WA BERLIN
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Kiongozi wa Ujerumani, Angela Merkel, ameitisha taarifa kamili juu ya kesi inayomhusu Anis Amri, raia wa Tunisia aliyekuwa akitakikana nchini Ujerumani kwa kushambulia soko la Krismasi jijini Berlin.
Amri alipigwa risasi na kuuawa hiyo jana na polisi nchini Italia. Bethany Bell ametutumia taarifa ifuatayo kutoka Berlin.
Kuna hali ya utulivu nchini Ujerumani ambapo watu wametambua kuwa Anis Amri si hatari tena nchini humo.
Lakini kama anavyosema Angela Merkel, kesi hii inazusha maswali mengi sana. Maafisa wa Ujerumani wanasema kuwa wapelelezi wa tukio hilo wanataka kujua iwapo Amri alikuwa na mtandao wa wafuasi.
Watataka pia kujua kwa nini ilikuwa vigumu yeye kuondolewa nchini licha ya amri nyingi kutolewa na kwa nini maafisa wa usalama walikoma kumfuatilia licha ya kufahamu kuwa alikuwa na uhusiano wa karibu na wanachama kadhaa wa Waislamu wenye itikadi kali.
Licha kutangazwa kuwa yeye alikuwa mshukiwa mkuu katika shambulio la Berlin, aliweza kusafiri kusafiri katika mataifa kadhaa ya Ulaya.
Bi Merkel alisema kuwa taifa lake litachukua hatua kambambe kuimarisha usalama. Yeye na Serikali yake wametiliwa shinikizo kutekeleza ahadi hiyo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MERKEL ATAKA KUFAHAMU ZAIDI KUHUSU MSHAMBULIZI WA BERLIN

Kiongozi wa Ujerumani, Angela Merkel, ameitisha taarifa kamili juu ya kesi inayomhusu Anis Amri, raia wa Tunisia aliyekuwa akitakikana nchini Ujerumani kwa kushambulia soko la Krismasi jijini Berlin.
Amri alipigwa risasi na kuuawa hiyo jana na polisi nchini Italia. Bethany Bell ametutumia taarifa ifuatayo kutoka Berlin.
Kuna hali ya utulivu nchini Ujerumani ambapo watu wametambua kuwa Anis Amri si hatari tena nchini humo.
Lakini kama anavyosema Angela Merkel, kesi hii inazusha maswali mengi sana. Maafisa wa Ujerumani wanasema kuwa wapelelezi wa tukio hilo wanataka kujua iwapo Amri alikuwa na mtandao wa wafuasi.
Watataka pia kujua kwa nini ilikuwa vigumu yeye kuondolewa nchini licha ya amri nyingi kutolewa na kwa nini maafisa wa usalama walikoma kumfuatilia licha ya kufahamu kuwa alikuwa na uhusiano wa karibu na wanachama kadhaa wa Waislamu wenye itikadi kali.
Licha kutangazwa kuwa yeye alikuwa mshukiwa mkuu katika shambulio la Berlin, aliweza kusafiri kusafiri katika mataifa kadhaa ya Ulaya.
Bi Merkel alisema kuwa taifa lake litachukua hatua kambambe kuimarisha usalama. Yeye na Serikali yake wametiliwa shinikizo kutekeleza ahadi hiyo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :