Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » TFF WAJICHIMBIA KISA BARUA YA KUIPOKA SIMBA POINTI TATU
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

KATIBU MKUU WA TFF, MWESIGWA CELESTINE


Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limethibitisha litatoa barua kwa Simba kuhusiana na suala la pointi tatu za Kagera Sugar, lakini wamelazimika kutulia na kuangalia usahihi wa kuiandika.

Simba imekuwa ikidai barua ya kutaarifiwa kupokwa pointi tatu na Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji.

Simba imesema ina barua ya kupewa pointi tatu kutoka kwa TFF kupitia Kamati ya Saa 72, hivyo haitambui kupokwa pointi na inasubiri barua ya kupokwa ili iende Fifa.

Taarifa za ndani kutoka TFF, zimethibitisha TFF imekuwa ikigwaya kutoa barua lakini itaitoa.

“Barua inaandaliwa kwa kuwa ina masuala kadhaa ya kisheria, Simba wavute subira,” Ofisa mmoja wa TFF amesema.

Lakini Ofisa mwingine naye amesema: “Kuna uoga, lazima barua iandaliwe kitaalamu na kisheria maana tayari Simba wameibana TFF.”

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / TFF WAJICHIMBIA KISA BARUA YA KUIPOKA SIMBA POINTI TATU

KATIBU MKUU WA TFF, MWESIGWA CELESTINE


Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limethibitisha litatoa barua kwa Simba kuhusiana na suala la pointi tatu za Kagera Sugar, lakini wamelazimika kutulia na kuangalia usahihi wa kuiandika.

Simba imekuwa ikidai barua ya kutaarifiwa kupokwa pointi tatu na Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji.

Simba imesema ina barua ya kupewa pointi tatu kutoka kwa TFF kupitia Kamati ya Saa 72, hivyo haitambui kupokwa pointi na inasubiri barua ya kupokwa ili iende Fifa.

Taarifa za ndani kutoka TFF, zimethibitisha TFF imekuwa ikigwaya kutoa barua lakini itaitoa.

“Barua inaandaliwa kwa kuwa ina masuala kadhaa ya kisheria, Simba wavute subira,” Ofisa mmoja wa TFF amesema.

Lakini Ofisa mwingine naye amesema: “Kuna uoga, lazima barua iandaliwe kitaalamu na kisheria maana tayari Simba wameibana TFF.”


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :