Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » WAFUNGWA 19 WATOROKA DRC
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



Wafungwa kumi na tisa, wengi wao wanaokabiliwa na mashtaka ya ubakaji, wametoroka jela mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo usiku wa kuamkia leo, na kusababisha hofu ya kulipiza kisasi kwa waathirika wa vitendo vyao, vyanzo vya serikali za ndani vimesema.



Kwa mujibu wa msimamizi wa gereza Gerard Nkwana, katika jimbo la Kivu Kusini Wafungwa hao 19 walitoroka katika gereza la Kalehe lenye wafungwa 20.


Pascal Nabulera, mkuu wa shirika la kijamii jamii la Kalehe, ametangazia RFI kuwa Watu wanaofika mahakamani kufungua kesi na mashahidi sasa wanawasiwasi wa kulipiziwa kisasi na wafungwa hao waliotoroka.



Nchi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yenye umasikini na inayopambana na mgawanyiko wa kisiasa na kikabila pamoja na machafuko mashariki mwa nchi inakabiliwa na matatizo makubwa katika mfumo wake wa mahakama.



Mnamo Mei, wafungwa 4,000 walitoroka katika gereza la Makala huko Kinshasa, mji mkuu, wakati 900 wakitoroka kutoka jela huko Beni katika jimbo la Kivu Kaskazini mwezi Juni.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / WAFUNGWA 19 WATOROKA DRC



Wafungwa kumi na tisa, wengi wao wanaokabiliwa na mashtaka ya ubakaji, wametoroka jela mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo usiku wa kuamkia leo, na kusababisha hofu ya kulipiza kisasi kwa waathirika wa vitendo vyao, vyanzo vya serikali za ndani vimesema.



Kwa mujibu wa msimamizi wa gereza Gerard Nkwana, katika jimbo la Kivu Kusini Wafungwa hao 19 walitoroka katika gereza la Kalehe lenye wafungwa 20.


Pascal Nabulera, mkuu wa shirika la kijamii jamii la Kalehe, ametangazia RFI kuwa Watu wanaofika mahakamani kufungua kesi na mashahidi sasa wanawasiwasi wa kulipiziwa kisasi na wafungwa hao waliotoroka.



Nchi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yenye umasikini na inayopambana na mgawanyiko wa kisiasa na kikabila pamoja na machafuko mashariki mwa nchi inakabiliwa na matatizo makubwa katika mfumo wake wa mahakama.



Mnamo Mei, wafungwa 4,000 walitoroka katika gereza la Makala huko Kinshasa, mji mkuu, wakati 900 wakitoroka kutoka jela huko Beni katika jimbo la Kivu Kaskazini mwezi Juni.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :