Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » YUHI BUSHAIJA: NINA NDOTO ZA KURUDI RWANDA KAMA MFALME
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post




Yuhi VI Bushaija, 56, akizungumza na The Sunday Times nchini Uingereza amesema kuwa ana ndoto za kurudi nchini Rwanda kama mfalme.


Bushaija amesema kuwa alishangaa baada ya kusikia kuwa ndiye atakayechukua nafasi ya mfalme baada ya kifo cha mjomba wake,Kigeli V Ndahindurwa mwezi wa Januari 2017 nchini Marekani.


Kwenye mazungumzo haya,Bushaija ameleza kuwa hatakubali kumaliza milenia akiwa ukimbizini na kuwa ana ndoto za kurudi nchini Rwamda kama mfalme asiyekuwa wa ukimbizini.
...
Bushaija ameleza”Nina ndoto za kurudi nchini Rwanda kama mfalme asiyekuwa wa ukimbizini siku moja”.
Pia ameongeza kwamba ataendelea kutii mila na desturi vya Wanyarwanda na kusaidia Wanyarwanda popote walipo.

Pamoja na haya,Bushaija ameonyesha upendo wake kwa familia ya ufalme wa Uimgereza Kupitia ujumbe alioutuma ili kumtakia mwanafalme Harry na mchumba wake,Meghan Markle kwa niaba ya wanyarwanda kwa kusema”Kwa niaba ya Wanyarwanda,nawatakia mema kwenye ndoa yenu.Ningetaka kuja kwenye harusi yenu lakini inawezekana kuwa kuna wageni wa kutosha”.


Yuhi VI Bushaija alifunga ndoa na mwanamke Lilian,49, walibalikiwa watoto watatu;msichana mmoja na wavulana wawili.Alizaliwa nchini Rwanda na kulelewa nchini Uganda alipohamia na kuenda Kenya kisha akaenda nchini Uingereza mwaka 2000.


Bushaija ametangaza kurudi nchini Rwanda kama mfalme wakati ambapo Rwanda ni Jamhuri tangu mwaka 1962.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / YUHI BUSHAIJA: NINA NDOTO ZA KURUDI RWANDA KAMA MFALME




Yuhi VI Bushaija, 56, akizungumza na The Sunday Times nchini Uingereza amesema kuwa ana ndoto za kurudi nchini Rwanda kama mfalme.


Bushaija amesema kuwa alishangaa baada ya kusikia kuwa ndiye atakayechukua nafasi ya mfalme baada ya kifo cha mjomba wake,Kigeli V Ndahindurwa mwezi wa Januari 2017 nchini Marekani.


Kwenye mazungumzo haya,Bushaija ameleza kuwa hatakubali kumaliza milenia akiwa ukimbizini na kuwa ana ndoto za kurudi nchini Rwamda kama mfalme asiyekuwa wa ukimbizini.
...
Bushaija ameleza”Nina ndoto za kurudi nchini Rwanda kama mfalme asiyekuwa wa ukimbizini siku moja”.
Pia ameongeza kwamba ataendelea kutii mila na desturi vya Wanyarwanda na kusaidia Wanyarwanda popote walipo.

Pamoja na haya,Bushaija ameonyesha upendo wake kwa familia ya ufalme wa Uimgereza Kupitia ujumbe alioutuma ili kumtakia mwanafalme Harry na mchumba wake,Meghan Markle kwa niaba ya wanyarwanda kwa kusema”Kwa niaba ya Wanyarwanda,nawatakia mema kwenye ndoa yenu.Ningetaka kuja kwenye harusi yenu lakini inawezekana kuwa kuna wageni wa kutosha”.


Yuhi VI Bushaija alifunga ndoa na mwanamke Lilian,49, walibalikiwa watoto watatu;msichana mmoja na wavulana wawili.Alizaliwa nchini Rwanda na kulelewa nchini Uganda alipohamia na kuenda Kenya kisha akaenda nchini Uingereza mwaka 2000.


Bushaija ametangaza kurudi nchini Rwanda kama mfalme wakati ambapo Rwanda ni Jamhuri tangu mwaka 1962.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :