Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MWAKA MMOJA TANGU KUTEKWA WANAFUNZI ,WAZAZI WA MEXICO WATAENDELEA KUANDAMANA HADI UKWELI UJULIKANE.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

 Tarehe kama ya leo Mexico iliingia kwenye Top stories baada ya kuwepo na taarifa ya kupotea kwa wanafunzi 43 katika mji wa Iguala Kusini mwa nchi hiyo.
 Pamoja na kuwepo utata wa kupotea kwa wanafunzi hao huku ndugu wa wanafunzi hao wakigoma kupokea taarifa ya Serikali iliyotolewa baada ya uchunguzi uliodai wanafunzi hao walitekwa na kuuawa na kundi la kigaidi.

Maelfu ya ndugu na jamaa wa wanafunzi hao wakiandamaa nchini humo


Ripoti hiyo haijakataliwa tu na ndugu wa wanafunzi hao, bali pia ripoti kutoka kwa kundi la wataalamu wa uchunguzi hivi karibuni ilihoji uhalali wa ripoti hiyo ya uchunguzi wa serikali.
Ndugu wa wanafunzi hao wamesisitiza kuwa hawataacha kuandamana hadi pale watakapojua ukweli juu ya ndugu zao hao.
Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto, ameahidi uchunguzi upya ufanywe.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MWAKA MMOJA TANGU KUTEKWA WANAFUNZI ,WAZAZI WA MEXICO WATAENDELEA KUANDAMANA HADI UKWELI UJULIKANE.

 Tarehe kama ya leo Mexico iliingia kwenye Top stories baada ya kuwepo na taarifa ya kupotea kwa wanafunzi 43 katika mji wa Iguala Kusini mwa nchi hiyo.
 Pamoja na kuwepo utata wa kupotea kwa wanafunzi hao huku ndugu wa wanafunzi hao wakigoma kupokea taarifa ya Serikali iliyotolewa baada ya uchunguzi uliodai wanafunzi hao walitekwa na kuuawa na kundi la kigaidi.

Maelfu ya ndugu na jamaa wa wanafunzi hao wakiandamaa nchini humo


Ripoti hiyo haijakataliwa tu na ndugu wa wanafunzi hao, bali pia ripoti kutoka kwa kundi la wataalamu wa uchunguzi hivi karibuni ilihoji uhalali wa ripoti hiyo ya uchunguzi wa serikali.
Ndugu wa wanafunzi hao wamesisitiza kuwa hawataacha kuandamana hadi pale watakapojua ukweli juu ya ndugu zao hao.
Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto, ameahidi uchunguzi upya ufanywe.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :