Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ADA ELEKEZI INAWAWEKA NJIA PANDA WATANZANIA, MKOANI DODOMA WAANZA KUWA NA MASHAKA NA SHULE BINAFSI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

DODOMA 

ZIKIWA zimebaki siku chache kwa shule za msingi na sekondari kufunguliwa  mpaka sasa wazazi na walezi wa wanafunzi mkoani Dodoma bado wapo katika hali ya sintofahamu kutokana na kutojua kiwango halisi cha ada hasa katika shule Binafsi ambapo serikali ilishatanga kufuta ada na michango mbalimbali katika shule zake.

Wakizungumza kwa nyakati Tofaiuti na Rasi Fm mjini Dodoma wazazi hao wamesema  zimebakia siku chache bado hawajajua  viwango vya ada kwa shule binafsi hali inayowapa ugumu wa kufanya bajeti zao.

 kwa upande wake Felichesmi Peter ameiomba serekali kutaja ada  ili kuwapa nafasi  wazazi  kuandaa ada hiyo kwa kiasi husika na wakati sahihi.

Wananchi hao wametoa  utofauti wa viwango vya elimu vinavyopatika shule za serekali na zabinafsi    

Nae Bi Anna Kibona  ametoa amesema   kutoka na kutokujua kiwango halisi cha ada wakati imebaki siku chache shule kufunguliwa inawawia ugumu kujua nini cha kufanya kutokana na kusikia serikali ikitangaza ada Elekezi ya shilingi laki tatu kwa kila mwanafunzi wakati wamiliki wa shule hizo hajasema kama ndicho kiwango kitakachotumika ama laa.

Hivi Karibuni Serikali ya Awamu ya Tano Chini ya Dkt, John Pombe Magufuli ilitangaza kufuta ada na michango mingine kwa shule zake za msingi na Sekondari huku ikitoa ikitangaza Ada Elekezi kwa wamiliki wa shule Binafsi.

John Banda

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ADA ELEKEZI INAWAWEKA NJIA PANDA WATANZANIA, MKOANI DODOMA WAANZA KUWA NA MASHAKA NA SHULE BINAFSI

DODOMA 

ZIKIWA zimebaki siku chache kwa shule za msingi na sekondari kufunguliwa  mpaka sasa wazazi na walezi wa wanafunzi mkoani Dodoma bado wapo katika hali ya sintofahamu kutokana na kutojua kiwango halisi cha ada hasa katika shule Binafsi ambapo serikali ilishatanga kufuta ada na michango mbalimbali katika shule zake.

Wakizungumza kwa nyakati Tofaiuti na Rasi Fm mjini Dodoma wazazi hao wamesema  zimebakia siku chache bado hawajajua  viwango vya ada kwa shule binafsi hali inayowapa ugumu wa kufanya bajeti zao.

 kwa upande wake Felichesmi Peter ameiomba serekali kutaja ada  ili kuwapa nafasi  wazazi  kuandaa ada hiyo kwa kiasi husika na wakati sahihi.

Wananchi hao wametoa  utofauti wa viwango vya elimu vinavyopatika shule za serekali na zabinafsi    

Nae Bi Anna Kibona  ametoa amesema   kutoka na kutokujua kiwango halisi cha ada wakati imebaki siku chache shule kufunguliwa inawawia ugumu kujua nini cha kufanya kutokana na kusikia serikali ikitangaza ada Elekezi ya shilingi laki tatu kwa kila mwanafunzi wakati wamiliki wa shule hizo hajasema kama ndicho kiwango kitakachotumika ama laa.

Hivi Karibuni Serikali ya Awamu ya Tano Chini ya Dkt, John Pombe Magufuli ilitangaza kufuta ada na michango mingine kwa shule zake za msingi na Sekondari huku ikitoa ikitangaza Ada Elekezi kwa wamiliki wa shule Binafsi.

John Banda

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :