Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » EHUD OLMERT KWENDA JELA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Olmert alikuwa waziri mkuu kati ya 2006 na 2009 

 Waziri mkuu wa zamani wa Israel Ehud Olmert ametakiwa kutumikia kifungo cha miezi 18 jela kwa makosa ya rushwa.

Olmert alikuwa amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela na mahakama ya chini 2014, lakini adhabu hiyo sasa imepunguzwa na Mahakama ya Juu.

Mwanasiasa huyo wa umri wa miaka 70 alipatikana na hatia kuhusu mkataba wa ujenzi wa nyumba ambao ulifanyika alipokuwa meya wa Jerusalem, kabla yake kuwa waziri mkuu 2006.

Olmert, aliyejizulu 2009, atakuwa waziri mkuu wa kwanza wa zamani wa Israel kwenda gerezani.

Pia amekata rufaa uamuzi wa kumpata na hatia ya utapeli na kuvunja kanuni ya uaminifu.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / EHUD OLMERT KWENDA JELA


Olmert alikuwa waziri mkuu kati ya 2006 na 2009 

 Waziri mkuu wa zamani wa Israel Ehud Olmert ametakiwa kutumikia kifungo cha miezi 18 jela kwa makosa ya rushwa.

Olmert alikuwa amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela na mahakama ya chini 2014, lakini adhabu hiyo sasa imepunguzwa na Mahakama ya Juu.

Mwanasiasa huyo wa umri wa miaka 70 alipatikana na hatia kuhusu mkataba wa ujenzi wa nyumba ambao ulifanyika alipokuwa meya wa Jerusalem, kabla yake kuwa waziri mkuu 2006.

Olmert, aliyejizulu 2009, atakuwa waziri mkuu wa kwanza wa zamani wa Israel kwenda gerezani.

Pia amekata rufaa uamuzi wa kumpata na hatia ya utapeli na kuvunja kanuni ya uaminifu.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :