Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » JARIBIO LA DAWA MPY AUFARANSA LALETA TAFRAN UFARANSA,LASITISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Jaribio la dawa mpya nchini Ufaransa limemwacha mtu mmoja akiwa hana fahamu huku wengine watano wakiwa katika hali mbaya.
Jaribio hilo lilifanywa na mahabara ya kibinafsi katika mji wa mgaharibi wa Rennes.
Kufikia sasa Jaribio hilo limesimamishwa na kwamba kampuni hiyo imeanza kuwarudisha watu waliojitolea.Haijajulikani ni watu wangapi waliohusishwa.
Ripoti za vyombo vya habari kwamba dawa hiyo iilitengezwa kutokana na bangi zimepingwa na wizara ya afya.
Afisi ya mwendesha mashtaka mjini Paris imesema kuwa uchunguzi umeanzishwa 

Waziri wa afya Marisol Touraine ,ambaye alikuwa akielekea Rennes siku ya ijumaa ,aliahidi kujua ukweli kuhusu swala hilo lililosababisha ajali hiyo.
Jaribio hilo lilifanywa na Biotrial,kampuni moja ya Ufaransa ilio na sifa ya kimataifa kwa kufanikiwa majaribio chungu nzima tangu ilipoanzishwa mwaka 1989.
Kulingana na wizara ya afya,ajali hiyo ilitokea siku ya alhamisi.Athari kubwa ni kukosa fahamu kwa mwathiriwa mmoja ,ilisema huku wengine watano wakiwa katika hali mbaya sana.
Utafiti huo ni wa awamu ya kwanza ambapo watu waliojitolea hutumia dawa hiyo ili kubaini usalama wake,wizara hiyo ilisema.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / JARIBIO LA DAWA MPY AUFARANSA LALETA TAFRAN UFARANSA,LASITISHWA KUPISHA UCHUNGUZI

Jaribio la dawa mpya nchini Ufaransa limemwacha mtu mmoja akiwa hana fahamu huku wengine watano wakiwa katika hali mbaya.
Jaribio hilo lilifanywa na mahabara ya kibinafsi katika mji wa mgaharibi wa Rennes.
Kufikia sasa Jaribio hilo limesimamishwa na kwamba kampuni hiyo imeanza kuwarudisha watu waliojitolea.Haijajulikani ni watu wangapi waliohusishwa.
Ripoti za vyombo vya habari kwamba dawa hiyo iilitengezwa kutokana na bangi zimepingwa na wizara ya afya.
Afisi ya mwendesha mashtaka mjini Paris imesema kuwa uchunguzi umeanzishwa 

Waziri wa afya Marisol Touraine ,ambaye alikuwa akielekea Rennes siku ya ijumaa ,aliahidi kujua ukweli kuhusu swala hilo lililosababisha ajali hiyo.
Jaribio hilo lilifanywa na Biotrial,kampuni moja ya Ufaransa ilio na sifa ya kimataifa kwa kufanikiwa majaribio chungu nzima tangu ilipoanzishwa mwaka 1989.
Kulingana na wizara ya afya,ajali hiyo ilitokea siku ya alhamisi.Athari kubwa ni kukosa fahamu kwa mwathiriwa mmoja ,ilisema huku wengine watano wakiwa katika hali mbaya sana.
Utafiti huo ni wa awamu ya kwanza ambapo watu waliojitolea hutumia dawa hiyo ili kubaini usalama wake,wizara hiyo ilisema.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :