Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUZISHAURI HALMASHAURI MKOANI NJOMBE KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA HIV ...
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Na John Banda

VIONGOZI  wa dini halmashauri ya wilaya ya Njombe wameombwa kushiriki kikamilifu katika kamati za Kupambana na ukimwi zitakazo undwa na halmashauri hiyo kwa kutoa ushauri ili kupambana na maambukizi ya ugonywa huo ambao mkoa wa Njombe wa ujumla unaonekana kinala kw akuwa wamaambukizi.

Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Njombe Valentono Hongoli wakati akizungumza na wadau wa maendeleo wa halmashauri hiyo juzi ambao walikutana katika mkutano wa maendeleo ya halmashauri.

Amesema kuwa viongozi wa dini wasisite kujumuika na wataalamu na madiwani wa halmashauri hiyo watakapo wekwa katika kamati za halmashauri hiyo hasa ile ya ukimwi kwa kutoa usahauri.

Amesema kuwa kanuni za baraza la madiwani wa halmashauri hiyo zinataka katika mamati ya ukimwi kuwepo kwa viongozi wa dini kwaajili ya ushauri hivyo viongozi hao mchango wao unahitajika sana katika kamati zao.

Hata hivyo  kamati hizo zitaundwa hivi karibuni na kuwepo kwa kiongozi mmoja kutoka kwa taasisi ya Kiislamu na mmoja kutoka taasisi ya Kikristo.

Hongoli ameongeza kuwa kuna baadhi ya watu wanadaiwa kuacha kutumia dawa za kupunguza makali na kuacha matumizi ya dawa hizo na kusema kuwa kwa busala za viongozi wa dini kunaweza kuwashawishi viongozi wa dini wanaweza kurudi kutumia dawa.

Aidha mkutano huo ulichukua mda mfupi kujadili mambo ya kimaendeleo ya halmashauri hiyo ambapo kulijumuishwa wadau wa maendeleo wakiwembo viongozi kutoka taasisi mbalimbali, viongozi wa dini na wataalam wa halmashari hiyo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUZISHAURI HALMASHAURI MKOANI NJOMBE KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA HIV ...

Na John Banda

VIONGOZI  wa dini halmashauri ya wilaya ya Njombe wameombwa kushiriki kikamilifu katika kamati za Kupambana na ukimwi zitakazo undwa na halmashauri hiyo kwa kutoa ushauri ili kupambana na maambukizi ya ugonywa huo ambao mkoa wa Njombe wa ujumla unaonekana kinala kw akuwa wamaambukizi.

Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Njombe Valentono Hongoli wakati akizungumza na wadau wa maendeleo wa halmashauri hiyo juzi ambao walikutana katika mkutano wa maendeleo ya halmashauri.

Amesema kuwa viongozi wa dini wasisite kujumuika na wataalamu na madiwani wa halmashauri hiyo watakapo wekwa katika kamati za halmashauri hiyo hasa ile ya ukimwi kwa kutoa usahauri.

Amesema kuwa kanuni za baraza la madiwani wa halmashauri hiyo zinataka katika mamati ya ukimwi kuwepo kwa viongozi wa dini kwaajili ya ushauri hivyo viongozi hao mchango wao unahitajika sana katika kamati zao.

Hata hivyo  kamati hizo zitaundwa hivi karibuni na kuwepo kwa kiongozi mmoja kutoka kwa taasisi ya Kiislamu na mmoja kutoka taasisi ya Kikristo.

Hongoli ameongeza kuwa kuna baadhi ya watu wanadaiwa kuacha kutumia dawa za kupunguza makali na kuacha matumizi ya dawa hizo na kusema kuwa kwa busala za viongozi wa dini kunaweza kuwashawishi viongozi wa dini wanaweza kurudi kutumia dawa.

Aidha mkutano huo ulichukua mda mfupi kujadili mambo ya kimaendeleo ya halmashauri hiyo ambapo kulijumuishwa wadau wa maendeleo wakiwembo viongozi kutoka taasisi mbalimbali, viongozi wa dini na wataalam wa halmashari hiyo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :