Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » WAFANYABIASHAR ADODOMA WATAKIWA KUWEKA KUMBUKUMBU ZA BIASHARA ZAO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Na Oliver Shayo & John Banda-Dodoma 
Mamlaka ya mapato Tanzania [TRA] imewataka wafanyabiashara kutunza kumbukumbu za Risiti wanazotoa kwa wateja wao ili iwe rahisi kufanyiwa makadirio pindi muda wakutakiwa kulipa kodi unapowadia.

 wanapouza bidhaa kutoa risiti ili kutunza kumbukumbu kwani  zitawasadia kwenye makadirio ya biashara zao.

Akizungumza na Rasi Fm ofisini kwake Afisa wa kitengo cha Elimu cha TRA Bernabas Masika amesema wafanyabiashara wanapouza bidhaa wanatakiwa kutoa risiti ili kuepuka usumbufu wakati wa makadirio  kulingana na viwango vya kodi wanavyotakiwa kulipa.

Masika amesema wafanyabiashara wanapotoa  risiti itawasaidia kukadiriwa viwango sahihi vya kodi wanazotakiwa kulipa pamoja na tathimini ya mkadirio ya mwaka.

Amesema ikibainika mfanyabiasha yeyote amekeuka utaratibu wa kutoa risiti atachukuliwa hatua stahiki za kisheria ikiwa ni pamoja na kutozwa faini kulingana na ukubwa wa biashara yake.

Hata hivyo amewataka wanunuzi wa bidhaa wanapokwenda madukani kudai Risiti mara baada ya kufanya manunuzi ya bidhaa yoyote bila ukubwa wala udogo wake.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / WAFANYABIASHAR ADODOMA WATAKIWA KUWEKA KUMBUKUMBU ZA BIASHARA ZAO

Na Oliver Shayo & John Banda-Dodoma 
Mamlaka ya mapato Tanzania [TRA] imewataka wafanyabiashara kutunza kumbukumbu za Risiti wanazotoa kwa wateja wao ili iwe rahisi kufanyiwa makadirio pindi muda wakutakiwa kulipa kodi unapowadia.

 wanapouza bidhaa kutoa risiti ili kutunza kumbukumbu kwani  zitawasadia kwenye makadirio ya biashara zao.

Akizungumza na Rasi Fm ofisini kwake Afisa wa kitengo cha Elimu cha TRA Bernabas Masika amesema wafanyabiashara wanapouza bidhaa wanatakiwa kutoa risiti ili kuepuka usumbufu wakati wa makadirio  kulingana na viwango vya kodi wanavyotakiwa kulipa.

Masika amesema wafanyabiashara wanapotoa  risiti itawasaidia kukadiriwa viwango sahihi vya kodi wanazotakiwa kulipa pamoja na tathimini ya mkadirio ya mwaka.

Amesema ikibainika mfanyabiasha yeyote amekeuka utaratibu wa kutoa risiti atachukuliwa hatua stahiki za kisheria ikiwa ni pamoja na kutozwa faini kulingana na ukubwa wa biashara yake.

Hata hivyo amewataka wanunuzi wa bidhaa wanapokwenda madukani kudai Risiti mara baada ya kufanya manunuzi ya bidhaa yoyote bila ukubwa wala udogo wake.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :