Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » » WANASOKA WANAOONGOZA KWA THAMANI KIMKWANJA DUNIANI UNAWAFAHAMU? HAWA HAPA {PICHAZ!!!!!}
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post




 Iwapo utapewa nafasi ya kutabiri ni nani anaweza kuwa kinara kwa wacheza soka ulimwenguni kwa kuingiza mkwanja mnono kila mtu atawataja Lionel Messi wa klabu ya Fc Barcelona pamoja na Christiano Ronaldo nwa Real Madrid zote za nchini Hispania.

Na hivyo ndivyo ilivyo maana kwa muda sasa wamekuwa wakifanya vizuri katika mashindao mbalimbali ya soka ikiwemo michuano ya Uefa Champions League pamoja na La Liga, lakini pia miongoni mwao wapo wengine wanaofanya vizuri na kuvut anoti nene pengine kuliko wao je! Unalifahamu hilo? Fuatana name ujionee wengine wanaowafuata na wanaowatishia ufalme wao huo.


Hii ni List kuanzia nafasi ya 5 kuja hadi ya kwanza



5.Harry kane {dolla 99.74 milioni}

Kama utakumbuka ni kwamba katika klabu ya Tottenham ya nchini England kuna wachezaji wawili waliowahi kuingia katika orodha ya wachezaji wanaopokea mpunga wa maana kwa mwaka kupitia soka ambapo ni Luca Modrich ambaye baadae alitimkia nchini Hispania katika klabu ya Real Madrid pamoja na Gareth Bale ambaye naye kwa kitita cha rekodi pia alitimkia Real Madrid baadae sasa ni zamu ya kijana huyu mwingereza ambaye sasa anashikilia nafasi ya tano kati ya tano bora kwa thamani ya mkwanja duniani kwa wacheza soka.
Swali ni je! Tutegemee kumuona timu gani tofauti na Tottenham?


4.Christiano Ronaldo {dolla 124.54 milioni}

 
Ukilitaja jina hili unakuwa unamtaja mtu mmoja muhimu sana katika klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno.

Kwa sasa ameshuka kutoka nafasi ya kwanza na ya pili katika misimu mitatu iliyopita hadi nafasi ya nne msimu wa 2015/16, pengine inawezekana pia kutokana na mabadiliko ya kisoka na ujio wa wawekezaji tofauti pia vijana wanaochipukia zote zinaweza kuwa sababu, kwa sasa anaingiza kiasi cha dolla milioni 124.54 .

3.Eden Hazard {dolla 142.56 milioni}


Ukiitaja chesea hasa katika idadi ya magoli waliyonayo hivi sasa pamoja na safu ya ushambuliaji huwezi kumuacha mbelgiji huyu ajulikanaye kwa ufungaji kila awapo na nafasi ya kufanya hivo, licha y akwamba msimu huu mambo hayajakaa sawa kwani hadi sasa hajapasia nyavu hata mara moja huku akitoa assist mbili pekee, lakini anaongoza ndani ya kikosi hicho kuwa na thamani kubwa zaidi ya wenzake huku kidunia akishika namba tatu mbele ya CR7 na Harry kane.


2.Neymar Do Santos {dolla 166.82 milioni}


Wakati anajiunga na fc Barcelona june 3 mwaka 2013 akitokea klabu y aSantos nchini kwao brazil kulizuka ubishi kama atamfunika Lionel Messi au atakosa namba, pia magwiji wawili wa Argentina Diego Armando Maradona na Edison Arantes do Nascimento maarufu kama {PELE} wakiingia kwenye mgogoro wa mabishano na kuvikonga vyombo vya habari juu y amwanasoka gani atakuwa moto na kumfunika mwenzake.


Ubishi huo umemalizika hapo jana mjini Zurich wakati Messi na Neymar walisimama kuwania uchampion wa dunia ambapo Leo Messi alitawazwa kushikilia tuzo hiyo kwa mara ya tano na kuwafunika au kuvunja rekodi na kujiwekea yake kabisaaaa.
Sasa ananyakua kiasi hicho cha fedha nab ado anayo nafasi hata kushika namba moja kama ataongeza bidii na iwapo messi atazubaa au kushuka kiwango japo ni parefu alipomuacha.


1.Lionel Messi {dolla 273.88 milioni}



Unapotaja sifa ya mchezaji wa dunia ni lazima utaje baadhi ya sifa ikiwamo ya mchango wa mchezaji katika kikosi chake cha taifa pamoja na klabu anayoichezea, kwa upande wake messi anastahili kutokana na uwezo alionao, kwanza ni mchezaji bora wa dunia mwaka uliopita alitangazwa, pia aliiwezesha Argentina kutwaa nafasi ya pili katika kombe la dunia mwaka 2014, tatu ameipatia klabu yake ya Barcelona taji la UEFA Championz league 2014/15, kombe la klabu bingwa dunia akifunga koli moja dhidi ya Guangzhou Evergrande nchini japani pamoja na kombe la la liga 2014/15.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / / WANASOKA WANAOONGOZA KWA THAMANI KIMKWANJA DUNIANI UNAWAFAHAMU? HAWA HAPA {PICHAZ!!!!!}




 Iwapo utapewa nafasi ya kutabiri ni nani anaweza kuwa kinara kwa wacheza soka ulimwenguni kwa kuingiza mkwanja mnono kila mtu atawataja Lionel Messi wa klabu ya Fc Barcelona pamoja na Christiano Ronaldo nwa Real Madrid zote za nchini Hispania.

Na hivyo ndivyo ilivyo maana kwa muda sasa wamekuwa wakifanya vizuri katika mashindao mbalimbali ya soka ikiwemo michuano ya Uefa Champions League pamoja na La Liga, lakini pia miongoni mwao wapo wengine wanaofanya vizuri na kuvut anoti nene pengine kuliko wao je! Unalifahamu hilo? Fuatana name ujionee wengine wanaowafuata na wanaowatishia ufalme wao huo.


Hii ni List kuanzia nafasi ya 5 kuja hadi ya kwanza



5.Harry kane {dolla 99.74 milioni}

Kama utakumbuka ni kwamba katika klabu ya Tottenham ya nchini England kuna wachezaji wawili waliowahi kuingia katika orodha ya wachezaji wanaopokea mpunga wa maana kwa mwaka kupitia soka ambapo ni Luca Modrich ambaye baadae alitimkia nchini Hispania katika klabu ya Real Madrid pamoja na Gareth Bale ambaye naye kwa kitita cha rekodi pia alitimkia Real Madrid baadae sasa ni zamu ya kijana huyu mwingereza ambaye sasa anashikilia nafasi ya tano kati ya tano bora kwa thamani ya mkwanja duniani kwa wacheza soka.
Swali ni je! Tutegemee kumuona timu gani tofauti na Tottenham?


4.Christiano Ronaldo {dolla 124.54 milioni}

 
Ukilitaja jina hili unakuwa unamtaja mtu mmoja muhimu sana katika klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno.

Kwa sasa ameshuka kutoka nafasi ya kwanza na ya pili katika misimu mitatu iliyopita hadi nafasi ya nne msimu wa 2015/16, pengine inawezekana pia kutokana na mabadiliko ya kisoka na ujio wa wawekezaji tofauti pia vijana wanaochipukia zote zinaweza kuwa sababu, kwa sasa anaingiza kiasi cha dolla milioni 124.54 .

3.Eden Hazard {dolla 142.56 milioni}


Ukiitaja chesea hasa katika idadi ya magoli waliyonayo hivi sasa pamoja na safu ya ushambuliaji huwezi kumuacha mbelgiji huyu ajulikanaye kwa ufungaji kila awapo na nafasi ya kufanya hivo, licha y akwamba msimu huu mambo hayajakaa sawa kwani hadi sasa hajapasia nyavu hata mara moja huku akitoa assist mbili pekee, lakini anaongoza ndani ya kikosi hicho kuwa na thamani kubwa zaidi ya wenzake huku kidunia akishika namba tatu mbele ya CR7 na Harry kane.


2.Neymar Do Santos {dolla 166.82 milioni}


Wakati anajiunga na fc Barcelona june 3 mwaka 2013 akitokea klabu y aSantos nchini kwao brazil kulizuka ubishi kama atamfunika Lionel Messi au atakosa namba, pia magwiji wawili wa Argentina Diego Armando Maradona na Edison Arantes do Nascimento maarufu kama {PELE} wakiingia kwenye mgogoro wa mabishano na kuvikonga vyombo vya habari juu y amwanasoka gani atakuwa moto na kumfunika mwenzake.


Ubishi huo umemalizika hapo jana mjini Zurich wakati Messi na Neymar walisimama kuwania uchampion wa dunia ambapo Leo Messi alitawazwa kushikilia tuzo hiyo kwa mara ya tano na kuwafunika au kuvunja rekodi na kujiwekea yake kabisaaaa.
Sasa ananyakua kiasi hicho cha fedha nab ado anayo nafasi hata kushika namba moja kama ataongeza bidii na iwapo messi atazubaa au kushuka kiwango japo ni parefu alipomuacha.


1.Lionel Messi {dolla 273.88 milioni}



Unapotaja sifa ya mchezaji wa dunia ni lazima utaje baadhi ya sifa ikiwamo ya mchango wa mchezaji katika kikosi chake cha taifa pamoja na klabu anayoichezea, kwa upande wake messi anastahili kutokana na uwezo alionao, kwanza ni mchezaji bora wa dunia mwaka uliopita alitangazwa, pia aliiwezesha Argentina kutwaa nafasi ya pili katika kombe la dunia mwaka 2014, tatu ameipatia klabu yake ya Barcelona taji la UEFA Championz league 2014/15, kombe la klabu bingwa dunia akifunga koli moja dhidi ya Guangzhou Evergrande nchini japani pamoja na kombe la la liga 2014/15.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :