Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » SPURS YAIPA NAFASI ZAIDI LEICESTER KUUTWAA UBINGWA EPL
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

LIVERRPOOL na Tottenham Leo zimetoka Sare 1-1 huko Anfield na kutoa mwanya mkubwa kwa Leicester City Kesho Jumapili kupanua pengo lao kileleni katika mbio za Ubingwa wa 
Ligi BPL-APRCKuu England
Matokeo ya Leo yamewaacha Tottemnham Nafasi ya Pili kwenye Ligi wakiwa wamecheza Mechi 1 zaidi ya Vinara Leicester na kuwa Pointi 4 nyuma ya Vinara hao.
Ikiwa Jumapili Leicester, wakiwa kwao King Power Stadium, wataifunga Southampton basi wataselelea kileleni wakiwa Pointi 7 mbele na Mechi zikiwa zimebaki 6 tu.
Hii Leo huko Anfield, Liverpool walitangulia kufunga kwa Bao la Dakika ya 51 la Phillippe Coutinho na Harry Kane kuisawazishia Spurs katika Dakika ya 63.
VIKOSI:
Liverpool: Mignolet, Clyne, Lovren, Sakho, Moreno, Henderson, Can, Milner, Coutinho, Lallana, Sturridge.
Akiba: Toure, Allen, Origi, Ibe, Skrtel, Smith, Ward.
Tottenham Hotspur: Lloris, Walker, Alderweireld, Wimmer, Rose,
Dier, Dembele, Son, Eriksen, Alli, Kane.
Akiba: Mason, Vorm, Trippier, Chadli, Onomah, Carroll, Davies.
REFA: Jon Moss
LIGI KUU ENGLAND
Ratiba
**Saa za Bongo
Jumapili Aprili 3
1530 Leicester v Southampton    
1800 Man United v Everton        
Jumamosi Aprili 9
1445 West Ham v Arsenal 
1700 Aston Villa v Bournemouth  
1700 Crystal Palace v Norwich              
1700 Southampton v Newcastle            
1700 Swansea v Chelsea   
1700 Watford v Everton    
2030 Man City v West Brom        
Jumapili Aprili 10
1530 Sunderland v Leicester                 
1800 Liverpool v Stoke               
1800 Tottenham v Man United              
Jumatano Aprili 13
2200 Crystal Palace v Everton                

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / SPURS YAIPA NAFASI ZAIDI LEICESTER KUUTWAA UBINGWA EPL

LIVERRPOOL na Tottenham Leo zimetoka Sare 1-1 huko Anfield na kutoa mwanya mkubwa kwa Leicester City Kesho Jumapili kupanua pengo lao kileleni katika mbio za Ubingwa wa 
Ligi BPL-APRCKuu England
Matokeo ya Leo yamewaacha Tottemnham Nafasi ya Pili kwenye Ligi wakiwa wamecheza Mechi 1 zaidi ya Vinara Leicester na kuwa Pointi 4 nyuma ya Vinara hao.
Ikiwa Jumapili Leicester, wakiwa kwao King Power Stadium, wataifunga Southampton basi wataselelea kileleni wakiwa Pointi 7 mbele na Mechi zikiwa zimebaki 6 tu.
Hii Leo huko Anfield, Liverpool walitangulia kufunga kwa Bao la Dakika ya 51 la Phillippe Coutinho na Harry Kane kuisawazishia Spurs katika Dakika ya 63.
VIKOSI:
Liverpool: Mignolet, Clyne, Lovren, Sakho, Moreno, Henderson, Can, Milner, Coutinho, Lallana, Sturridge.
Akiba: Toure, Allen, Origi, Ibe, Skrtel, Smith, Ward.
Tottenham Hotspur: Lloris, Walker, Alderweireld, Wimmer, Rose,
Dier, Dembele, Son, Eriksen, Alli, Kane.
Akiba: Mason, Vorm, Trippier, Chadli, Onomah, Carroll, Davies.
REFA: Jon Moss
LIGI KUU ENGLAND
Ratiba
**Saa za Bongo
Jumapili Aprili 3
1530 Leicester v Southampton    
1800 Man United v Everton        
Jumamosi Aprili 9
1445 West Ham v Arsenal 
1700 Aston Villa v Bournemouth  
1700 Crystal Palace v Norwich              
1700 Southampton v Newcastle            
1700 Swansea v Chelsea   
1700 Watford v Everton    
2030 Man City v West Brom        
Jumapili Aprili 10
1530 Sunderland v Leicester                 
1800 Liverpool v Stoke               
1800 Tottenham v Man United              
Jumatano Aprili 13
2200 Crystal Palace v Everton                

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :