Katika mkutano huo
uliofanyika muda mfupi uliopita Cristiano Ronaldo alipata nafasi ya
kumzungumzia mpinzani wake Lionel Messi baada ya kuulizwa
anamzungumziaje muargentina huyo, Ronaldo alijibu:‘Ningekuwa na uwezo
Ronaldo ningependa niupate mguu wake wa kushoto, mguu wake huo una uwezo
kuliko wa kwangu,’ alijibu CR7 na baadae Neymar nae akamuunga mkono kwa
kusema yeye angependa awe na miguu yote miwili ya mchezaji mwenzie wa
FC Barcelona.Katika upande mwingine Ronaldo alizungumzia skendo ya rushwa katika soka na akasema: ‘Ninachoweza kusema ningependa rushwa isiwepo, sio tu kwenye soka bali katika mfumo mzima wa kimaisha vilevile.’
ZILIVYOKUWA KURA ZA Ballon d'Or
Lionel Messi 41.33%
Cristiano Ronaldo 27.76%
Neymar 7.86%


No comments
Post a Comment