Mchezaji huyo
mwenye umri wa miaka 27 aliondolewa uwanjani baada ya kucheza dakika 15 pekee
mechi dhidi ya Bournemouth, ambayo walishinda 3-1.
Carroll, 27,
alikuwa amewafungia West Ham mabao mawili katika mechi zake nne za majuzi zaidi
baada ya kurudi kucheza Septemba 2015.
Kabla ya hapo,
alikuwa amekaa miezi saba nje baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye goti lake.
Carroll, ambaye aliwahi kuchezea
Newcastle, Carroll alijiunga na West Ham kutoka Liverpool kwa £15m mwezi Juni
2013.
West Ham wamo
nambari tano ligini, alama moja pekee nyuma ya Tottenham walio nambari nne,
zikiwa zimesalia mechi 17 za kuchezwa msimu huu.
No comments
Post a Comment