Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » BREAKING NEWZZZ!!!!!!! MTUNZI WA KITABU CHA NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE AFARIKI DUNIA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



Edwin Semzaba enzi za Uhai wake

                                                

Na : Nasri Bakari



Tanzia: taarifa ya kifo cha mwandishi, muigizaji na mhadhiri wa chuo kikuu cha Daresalaam na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa vitabu nchini (UWAVITA ), Edwin Semzaba.

KILICHO CHEMA HAKIDUMU ndio neno ambalo lilinijia kichwani kwangu baada ya kusikia habari za kifo za mtunzi wa kitabu ambacho kilivutia wanafunzi wengi kwenye somo la Kiswahili ,nakumbuka vitu vingi sana kutoka kwenye tamthilia ya Ngoswe penzi kitovu cha uzembe.


Interesting fact ambayo wengi hawajui ni kuwa Semzaba aliandika Tamthilia hiyo akiwa Shule ya sekondari kidato cha tatu. Akaihifadhi hadi baadae ilipokuja kuchezwa RTD na hatimaye kuwekwa ktk kitabu. 


Semzaba ni miongoni mwa waandishi wachache waliokua HAZINA ya Kiswahili nchini. 

Mwandishi wa Kitabu cha "Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe" na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Edwin Semzaba amefariki dunia jana jioni. Taarifa kamili itawajia baadae.

  Je leo ni wanafunzi wangapi wa Kidato cha tatu wanaoweza kuandika Tamthili nzuri kama ya Ngoswe?? Hakika tumepata pengo.. 

R.I.P Semzaba.


Imeandaliwa na Nasri Bakari

Mhariri Mkuu Denice J.Kazenzele

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / BREAKING NEWZZZ!!!!!!! MTUNZI WA KITABU CHA NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE AFARIKI DUNIA



Edwin Semzaba enzi za Uhai wake

                                                

Na : Nasri Bakari



Tanzia: taarifa ya kifo cha mwandishi, muigizaji na mhadhiri wa chuo kikuu cha Daresalaam na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa vitabu nchini (UWAVITA ), Edwin Semzaba.

KILICHO CHEMA HAKIDUMU ndio neno ambalo lilinijia kichwani kwangu baada ya kusikia habari za kifo za mtunzi wa kitabu ambacho kilivutia wanafunzi wengi kwenye somo la Kiswahili ,nakumbuka vitu vingi sana kutoka kwenye tamthilia ya Ngoswe penzi kitovu cha uzembe.


Interesting fact ambayo wengi hawajui ni kuwa Semzaba aliandika Tamthilia hiyo akiwa Shule ya sekondari kidato cha tatu. Akaihifadhi hadi baadae ilipokuja kuchezwa RTD na hatimaye kuwekwa ktk kitabu. 


Semzaba ni miongoni mwa waandishi wachache waliokua HAZINA ya Kiswahili nchini. 

Mwandishi wa Kitabu cha "Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe" na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Edwin Semzaba amefariki dunia jana jioni. Taarifa kamili itawajia baadae.

  Je leo ni wanafunzi wangapi wa Kidato cha tatu wanaoweza kuandika Tamthili nzuri kama ya Ngoswe?? Hakika tumepata pengo.. 

R.I.P Semzaba.


Imeandaliwa na Nasri Bakari

Mhariri Mkuu Denice J.Kazenzele

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :