Na mwandishi wetu,Nasri Bakari
Hakuna kiumbe asiye na ila ndio msemo unaoweza kusema kwa sasa kutokana
na watu wengi kuisimanga ndoa ya diva nguli Tanzania msanii wa maigizo Wastara Juma kuolewa ndoa ya uke wenza a.k,a matala na
wambea hao kusema mke mkubwa na mke mdogo wastara Juma awaelewani .
Sasa amwajibu kwa kusema dua
la kuku halimpati mwewe na wao wote ni wake halali wa Mr
Mbunge na wanaelewana kama mapacha na kuamua kuwadhihirishia kwa kutupia picha.
Imeandaliwa na Nasri Bakari
Mhariri mkuu Denice J.Kazenzele
Imeandaliwa na Nasri Bakari
Mhariri mkuu Denice J.Kazenzele
No comments
Post a Comment