Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » WAFAHAMU WATU KUMI MAARUFU WASIOTUMIA KILEVI NA MWAKA WALIOZALIWA NA KAZI ANAYOIFANYA.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Na  Nasri Bakari 

1.Christiano Ronaldo -(1985)
        Huyu ni mwanasoka nguli kabisa duniani kwa sasa akiwa ametwaa tuzo tatu za mwanasoka bora wa dunia na mataji mbalimbali duniani.Kwa sasa anchezea klabu ya soka ya Real Madrid ya nchini Hispainia amezaliwa nchini Ureno(Portugal).

2.Elton John (1947)
        

 Huyu ni mwimbaji,mtunzi wa nyimbo,mwandishi wa nyimbo,producer,na mpiga kinamba japo ameandamwa na skendo mbalimbali za ushoga lakini kamwe hatumii kilevi,anakumbukwa sana kwa nyimbo yake nzuri kabisa iitwayo Sacrife,kwa sasa ameolewa.
3. .Bill Gates – (1955)

William Henry Gates III) Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft,William Gates III H anajulikana kama Bill Gates alizaliwa tarehe 28 Oktoba, 1955 na kulelewa katika kijiji cha Seattle.

4.David Beckham-(1975)
             Huyu ni mchezaji wa mpira wa zamani wa timu za Manchester Uniten,Real Madrid na timu ya taifa ya uingereza pia ni manamitindo maarufu sana amezaliwa Leytonstone United Kindom huko Uingereza.
5.George W.Bush-(1946)
               Huyu alikuwa ni  raisi wa Marekani, kwa sasa ni  mfanyabiashara,pia ni mwanasiasa mkongwe amezaliwa New Heaven Nchini Marekani.
6.Eminem-(1972)
              Huyu yeye ni mwanamuziki wa miondoko ya kufokafoka , pia ni mwandishi mzuri wa nyimbo,pia ni producer ,amezaliwa Kansas City Marekani.
7.Akon-(1973)
               Huyu japo kwa ni mwanafunzi mwenye asili ya afrika kutoka nchini  Senegal ,anafanya vizuri sana nchini marekani kwenye nyimbo aina ya R&B,pia ana skendo ya kudanganya umri mara kazaliwa mwaka 1981 wengine wanasema kazaliwa 1973.
8.Jada Pinkett Smith-(1971)
               Huyu ni mke wa Will Smith yule muigiza na mwanamuziki wa marekani,yeye ni mwandishi wa vitabu ,pia ni mfanyabiashara,muimbaji,mwandishi wa nyimbo,muongozaji na mtengeneza filamu,na ni mwanamitindo,amezaliwa Marekani.
9.Jennifer Lopez-(1969)
                    Mwigizaji,mwimbaji,mwandisnyimbo,producer,mjasiliamali,mwanamitindo, na mtayarishaji vipindi vya television,amezaliwa Marekani.

10.Robert Mugabe-(1924)
                      Huyu ni raisi mwenye misimamo mikali pengine kuliko maraisi wote wa Afrika ,anakumbukwa kwa matukio yake mengi  ya kibabe amezaliwa Zimbabwe.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / WAFAHAMU WATU KUMI MAARUFU WASIOTUMIA KILEVI NA MWAKA WALIOZALIWA NA KAZI ANAYOIFANYA.


Na  Nasri Bakari 

1.Christiano Ronaldo -(1985)
        Huyu ni mwanasoka nguli kabisa duniani kwa sasa akiwa ametwaa tuzo tatu za mwanasoka bora wa dunia na mataji mbalimbali duniani.Kwa sasa anchezea klabu ya soka ya Real Madrid ya nchini Hispainia amezaliwa nchini Ureno(Portugal).

2.Elton John (1947)
        

 Huyu ni mwimbaji,mtunzi wa nyimbo,mwandishi wa nyimbo,producer,na mpiga kinamba japo ameandamwa na skendo mbalimbali za ushoga lakini kamwe hatumii kilevi,anakumbukwa sana kwa nyimbo yake nzuri kabisa iitwayo Sacrife,kwa sasa ameolewa.
3. .Bill Gates – (1955)

William Henry Gates III) Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft,William Gates III H anajulikana kama Bill Gates alizaliwa tarehe 28 Oktoba, 1955 na kulelewa katika kijiji cha Seattle.

4.David Beckham-(1975)
             Huyu ni mchezaji wa mpira wa zamani wa timu za Manchester Uniten,Real Madrid na timu ya taifa ya uingereza pia ni manamitindo maarufu sana amezaliwa Leytonstone United Kindom huko Uingereza.
5.George W.Bush-(1946)
               Huyu alikuwa ni  raisi wa Marekani, kwa sasa ni  mfanyabiashara,pia ni mwanasiasa mkongwe amezaliwa New Heaven Nchini Marekani.
6.Eminem-(1972)
              Huyu yeye ni mwanamuziki wa miondoko ya kufokafoka , pia ni mwandishi mzuri wa nyimbo,pia ni producer ,amezaliwa Kansas City Marekani.
7.Akon-(1973)
               Huyu japo kwa ni mwanafunzi mwenye asili ya afrika kutoka nchini  Senegal ,anafanya vizuri sana nchini marekani kwenye nyimbo aina ya R&B,pia ana skendo ya kudanganya umri mara kazaliwa mwaka 1981 wengine wanasema kazaliwa 1973.
8.Jada Pinkett Smith-(1971)
               Huyu ni mke wa Will Smith yule muigiza na mwanamuziki wa marekani,yeye ni mwandishi wa vitabu ,pia ni mfanyabiashara,muimbaji,mwandishi wa nyimbo,muongozaji na mtengeneza filamu,na ni mwanamitindo,amezaliwa Marekani.
9.Jennifer Lopez-(1969)
                    Mwigizaji,mwimbaji,mwandisnyimbo,producer,mjasiliamali,mwanamitindo, na mtayarishaji vipindi vya television,amezaliwa Marekani.

10.Robert Mugabe-(1924)
                      Huyu ni raisi mwenye misimamo mikali pengine kuliko maraisi wote wa Afrika ,anakumbukwa kwa matukio yake mengi  ya kibabe amezaliwa Zimbabwe.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :