Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » HII NDIO REKODI ALIYOIVUNJA ALEXIS SANCHES
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Mshambuliaji Alexis Sanchez wa Arsenal amerejea katika ubora wake baada ya weekend hii kufunga magoli matatu ‘hat-trick’ katika mchezo wa ligi kuu England Arsenal ikiifunga Leicester kwa jumla ya mabao 5-2.
 
Hat-trick hii imemfanya Sanchez aweke rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kupiga hat-trick katika ligi kuu tatu tofauti duniani, Serie A, La Liga na EPL  .

Hat-trick yake ya kwanza ilikuja akiwa anaichezea Udenise ya Italia wakiizamisha Palermo mabao 7-0 katika mchezo wa ligi kuu soka nchini Italia 2011.

Sanchez alisajiliwa Barcelona akitokea Udenise ya Italia kwa pauni 23m na kisha kufanikiwa kupiga hat-trick nyingine ya pili nchini Hispania Barcelona wakiwafunga Elche mabao 4-0.

Magoli matatu ya Sanchez yaliisaidia Arsenal kuifunga Leicester ambayo ilikua haijafungwa hata mchezo mmoja tangu kuanza kwa ligi kuu msimu huu. 

Huku mchezaji mwenza wa Arsenal, Theo Walcott akimwaga sifa kwa Sanchez kuwa ni bora zaidi kikosini.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / HII NDIO REKODI ALIYOIVUNJA ALEXIS SANCHES


Mshambuliaji Alexis Sanchez wa Arsenal amerejea katika ubora wake baada ya weekend hii kufunga magoli matatu ‘hat-trick’ katika mchezo wa ligi kuu England Arsenal ikiifunga Leicester kwa jumla ya mabao 5-2.
 
Hat-trick hii imemfanya Sanchez aweke rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kupiga hat-trick katika ligi kuu tatu tofauti duniani, Serie A, La Liga na EPL  .

Hat-trick yake ya kwanza ilikuja akiwa anaichezea Udenise ya Italia wakiizamisha Palermo mabao 7-0 katika mchezo wa ligi kuu soka nchini Italia 2011.

Sanchez alisajiliwa Barcelona akitokea Udenise ya Italia kwa pauni 23m na kisha kufanikiwa kupiga hat-trick nyingine ya pili nchini Hispania Barcelona wakiwafunga Elche mabao 4-0.

Magoli matatu ya Sanchez yaliisaidia Arsenal kuifunga Leicester ambayo ilikua haijafungwa hata mchezo mmoja tangu kuanza kwa ligi kuu msimu huu. 

Huku mchezaji mwenza wa Arsenal, Theo Walcott akimwaga sifa kwa Sanchez kuwa ni bora zaidi kikosini.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :